Hunijui Lyrics
Mmmmh. Bin Laden. Heeeeee!
Ooooh. Wanene! Hahhahahh!
Myenye macho haambiwi tazama askari
We kipusa nipitie mbali
Ya musa mpe musa hayamuhusu kaisari
Kila mchezo kwangu fainali
Magumu huyapitii peke yako
Hakuna ambaye hajatoka mbali
So usiniletee pressure na kweli
Mipango bila pesa ni kelele
Mwana sesere ongeza kunitukana
Maana unamuhukumu kifo mtu aliyetaka kujiua
Ikashindikana
Nishasema mama
Binadamu wabay haisia anaweza ziba mdomo na akajifanya hasikii
Ndolo vile tunaishi nao
Mikunjo ndo nembo yao
Na lengo kupiga bao
Anhaa vizuri havitaki pupa
Vinataka simpoo
So leo kesho kuanguka mi bado nipo
Napata ninachotafuta
Nakosaje diko
Nimwendo wa kuvunja fupa maana meno iko oooo
Wacha maneno goroka
Usifanye wanijua hebu acha
Kuropoka heey
Eti kabla sijatoka unasama
Unanijua hapo ndipo napochoka ooo me na say
Heya
Heya
Heya
Ngoma yaja
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2018
Album : Hunijui (Single)
Added By : Afrika Lyrics
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE