Accueil Recherche Pays Albums

Sikulaumu

WYSE

Sikulaumu Lyrics


Riziki ya mafungu saba
Ila huenda la kwangu halijatimia ah mmh
Wanasemaga haba na haba nitajaza kibaba
Siku yangu ikiwadia aah mmmh

Nimesikia we si wangu tena
Na huko ulipo nakuombea salama
Wema usijapo pema, ukipema 
Si pema tena

Nachokumbuka una siri zangu
Huko ulipo naomba unitunzie
Binadamu na madhaiifu yangu
Yale ya ndani naomba unifichie

Mi sikulaumu, sikulaumu
Mi sikulaumu, sikulaumu
Mi sikulaumu, sikulaumu
Mi sikulaumu, sikulaumu

Mungu hamtupi mja wake
Najua iko siku nitapona
Nitapata afadhali
Na mimi atanitunuku karama

Nitapata mtu wa maana ah
Wa kunitoa gizani
Akanipa dhamani 
Nikapata amani

Akanijaza moyoni
Kunifumba na mboni
Wa kunipa tumaini

Nachokumbuka una siri zangu
Huko ulipo naomba unitunzie
Binadamu na madhaiifu yangu
Yale ya ndani naomba unifichie

Mi sikulaumu, sikulaumu
Mi sikulaumu, sikulaumu
Mi sikulaumu, sikulaumu
Mi sikulaumu, sikulaumu

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Sikulaumu (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

WYSE

Tanzanie

Wyse is a singer/songwriter from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE