Accueil Recherche Pays Albums

Fanya Lyrics


Rapapapapampapapampapam
Ayagayaw
Willy Paul Willy Poze
Willy Paul Willy Poze
Willy Paul Willy Poze Rrrraaaa
Mabinti walinichanganya, Cha
Nairobi mpaka Mombasa, Cha
Kayole mpaka Dandora, Cha
Mathare mpaka Huruma, Cha
Ghetto mpaka Tribeka, ni kweli mimi awillie
Nilikuanga mzirire, walinitesa mabintire
Hivi leo nimerudi-ee.aii. kwa mwenyeziree anisamehe
Jalali nimekumissi sanaa,
Kukupenda ndio nataka kufanya
Fafa fanya fafa fanya
Fafa fanya fafa fanya
Fafa fanya fafa fanya
Fafa fanya fafa fanya
Wollitup mic check one, two, si mnafahamu yule Daudi-re
Alitenda madhambi eeh, lakini mungu ee alimpenda eeh
Tunajua huyu Daudi-ee alikwendaa-re akapotea
Leo leo narudi kwa papa 
Nikikweli eeh mimi awille, nilikuanga
Ni kweli mimi ah willie
Nilikuanga mziririe,
Walinitisha mabintire
Hivi leo nimerudi-ee
Kwa mwenyezi-ree anisamehe
Jalali nakumiss sanaa,
Kukupenda ndio nataka kufanya
Fafa fanya fafa fanya
Fafa fanya fafa yanya
Fafa fanya fafa fanya
Fafa fanya fafa fanya
Mhh kamata chini, na na na na
Juu kwa juu na na na na na
Siku za mwisho zimewadia
Wangapi watarudi na me today... kwake Babaa
Oh Halleluyah
Oh Halleluyah
Oh Halleluyah
Oh Halleluyah
Oh Halleluyah

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2016


Album : Sijafika (Single)


Copyright : ©2016


Added By : Trendy Sushi

SEE ALSO

AUTHOR

WILLY PAUL

Kenya

Né le 1er Setepmbre 1993, Willy Paul Msafi, de son vrai nom Wilson Abubakar Radido, est ...

YOU MAY ALSO LIKE