Home Search Countries Albums

Chuchuma

WILLY PAUL

Chuchuma Lyrics


Hawa mabinti wanazubaa zu
Huku na kule wanavuruga sana
Hawa mabinti wananyongesha bisha
Huku na kule wanavuruga sana

Vera Sidika chuchuma(Chuchumaa)
Huddah mama chuchuma(Chuchumaa)
Wema Sepetu chuchuma(Chuchumaa)
My African Nandy eehh

Anataka pick it up, pick it up
Baby nikiangusha pick it up, pick it up
Nikupe moto zaidi ya konki fire, pick it up
Njoo kwa bedi nikulishe gyal pick it up

Mimi simba mwenye motion, chuchuma
Nakuna kwenye motion, chuchuma
Na kama ngumu mi napaka lotion, chuchuma
Mi ni mkunaji bwana slow motion, chuchuma

Panda pipa nakupapapasa
Chuchuma nikutakase
Chukua penzi langu nikupakate
Eeeh nikupige mate

Vera Sidika chuchuma(Chuchumaa)
Huddah mama chuchuma(Chuchumaa)
Wema Sepetu chuchuma(Chuchumaa)
My African Nandy eehh

My baby chunga usivunje mifupa, ukichuchuma
Nikupe kwenye kiti ama kitandani, toto chuchuma
Willy niko fire daka risasi
Baby shika koti nikukune basi

Usiwe mjinga ka kijana mnono mfupi
Na mwizi mbaya eeeh
Funny boy

Napenda unavyopepeta aii
Napenda unavyosokota, sokoa sokoa
Napenda unavyolia yeii eeh
Kila unapo chuchuma iye iye

Wananiita Pozee rafiki ya upele
Utalia nikikata na wembe
Nikikata nawacha kidonda
Usijifanye hukumbuki mkunaji

Si nilikukuna ukamwaga na maji
Pozee, kijana bomba
Mwana f-- machine(ehe), fire machine(ehe)
Swag machine(ehe), chwada machine 

Vera Sidika chuchuma(Chuchumaa)
Huddah mama chuchuma(Chuchumaa)
Wema Sepetu chuchuma(Chuchumaa)
My African Nandy eehh

Vera Sidika chuchuma(Chuchumaa)
Huddah mama chuchuma(Chuchumaa)
Wema Sepetu chuchuma(Chuchumaa)
My African Nandy eehh

Chuchuma
Chuchuma
Chuchuma
Chuchuma

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Chuchuma (Single)


Copyright : (c) 2019 Saldido International


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

WILLY PAUL

Kenya

Born on  September 1, 1993, Wilson Abubakar Radido, better known as WILLY PAUL MSAFI,  ...

YOU MAY ALSO LIKE