Home Search Countries Albums

Kamata Toto

WEUSI

Kamata Toto Lyrics


Kamata toto, pale pale
Anapopenda, pole pole
Kamata toto, pale pale 
Ikizama imezama baba

Nikishalima nakula tunda shambani
Nikishavuna nalipeleka nyumbani
Likikolea naoa naweka ndani
Sinoi panga kuchunga kuku bandani

Le Mufasa! Li king la jungle
Walimanya, sicheki na panya
Kucheka nao watakuja kutuchanganya 
lfunanya baby mama la mama
Eeiya hakuna madrama

Kamata toto, pale pale
Anapopenda, pole pole
Kamata toto, pale pale 
Ikizama imezama baba

Kama kama kama kama kama...

Kamata toto, pale pale
Anapopenda, pole pole
Kamata toto, pale pale 
Ikizama imezama baba

Niko chini yake kama chaga na kitanda
Si tumeshikana kama mbezi na kibamba
Sio kushika shika sisi watu wa kubamba
Lord sarakasi sitishiki na misamba
Napita peke yangu njia nyembamba
Mjini, mangi bado nakichanga
Simsimangi wala kumnanga
Yeye kwangu bado ni kichanga

Kamata toto, pale pale
Anapopenda, pole pole
Kamata toto, pale pale 
Ikizama imezama baba

Hii nyama yangu
Nimeipata ka teni tela
Hii ndaba yali
Ninavyozikata kama bank teller

Napiga rungu kipepe pepee
Napiga nyungu ni tepe tepee
Nakata waya vicheche chechee
nakata mbaya mambo ya kete

Mama twende shopping ama designer
Na si makopa kopa maneno China
Vile tumetoka, unawasigina (Say what)
We pop bottles, mama mimina

Wakileta battle nakuwamimina
No childish bid daddy
Jitu la kazi bob daddy
Bad girl, me nakula vyote na 
Sina pupa so na
Kamata toto, pale pale
Anapopenda, pole pole
Kamata toto, pale pale 
Ikizama imezama baba

Kama kama kama kama kama...

Kamata toto, pale pale
Anapopenda, pole pole
Kamata toto, pale pale 
Ikizama imezama baba

Indaba yali, indaba yali
Ninavyozikata kwa bank teller

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Air Weusi (Album)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

WEUSI

Tanzania

WEUSI is a hip hop music group made up of Joh Makini, G Nako, Lord Eyes and Nikki wa Pili from Tanza ...

YOU MAY ALSO LIKE