Home Search Countries Albums

Sijawahi Ona

WALTER CHILAMBO

Read en Translation

Sijawahi Ona Lyrics


Sijaumbwa kwa bahati mbaya

Aah jamani napendwa

Hivi hivi nilivyo

Mungu ananipenda

Pamoja na madhaifu yangu

Lakini napendwa

Hivi hivi nilivyo

Mungu ananipenda

So ukinidharau,we nidharau tu

Lakini mimi na Mungu wangu tuna jambo letu

Na ukinicheka,we nicheke sana

Hizo kwa Mungu kelele tu

Hazinisumbui wala

Mungu wangu halali

Mungu wangu hasinzii

Na akisema anakubariki

Hakuna wakuzuia

Mungu wangu hashindwi

Mungu wangu hapangiwi

Neno lake halijawahi kupita

Bila kutimia....sijawahi ona

Sijawahi ona aahh aahh (mungu kama wewe aahh)

Sijawahi ona aaah aah ( mimi aah)

Sijawahi ona aaah aahh (upendo kama wako)

Sijawahi ona aah aaah (baba baba baba)

Wewe umesema akutegemeaye

Haumuachi ng'o aah aaah

Akutegemeaye Haumuachi ng'o

Na tukiomba kwa bidii

Tena kwa kumaanisha

Ye hutimiza ahadi tusipozimia moyo

Nakosaje ujasiri ndani

Nimembeba mtu wa maana

Naanzaje ...naanzaje

Hatua moja huanzisha nyingine

Na nyingine ananipa mwenyewe

Naachaje ....naachaje

Mungu wangu halali

Mungu wangu hasinzii

Na akisema anakubariki

Hakuna wakuzuia

Mungu wangu hashindwi

Mungu wangu hapangiwi

Neno lake halijawahi kupita

Bila kutimia....sijawahi ona

Sijawahi ona aahh aahh (mungu kama wewe aahh)

Sijawahi ona aaah aah ( mimi aah)

Sijawahi ona aaah aahh (upendo kama wako)

Sijawahi ona aah aaah (Baba baba baba)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2024


Album : (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

WALTER CHILAMBO

Tanzania

WALTER CHILAMBO  is a Gospel Singer and Song Writer from Tanzania. He was the winner at Epic Bo ...

YOU MAY ALSO LIKE