Singo Lyrics
The melody queen
Gachi beats
Unaenjoy, unaenjoy
Ukiwa single jamani unaenjoy
Unaenjoy, unaenjoy
Ukiwa single kwa kweli unaenjoy
Unaenjoy, unaenjoy
Unaenjoy, unaenjoy
Mmmh tuacheni utani eeh
Aah kuwa singo ni amani
Hata nichelewe kurudi haikatai
Na tukiwa na party popote na kwenda
Kutoa na lock sa penzi haifai
Mwenzenu niko singo jamani napenda
Aah aah....
Unaenjoy, unaenjoy
Ukiwa single jamani unaenjoy
Unaenjoy, unaenjoy
Ukiwa single kwa kweli unaenjoy
Unaenjoy, unaenjoy
Unaenjoy, unaenjoy
Ukiwa single huwezi pata BP (Unaenjoy)
Hakuna baby naomba niweke DP (Unaenjoy)
Utaforget mambo ya bluetick (Unaenjoy)
Huna mchepuko wala mainchick (Unaenjoy)
Staki stori za mapenzi nikonde
Bora tu nijipende mimi mwenyewe niwe kibonge
Yasije yakanikuta ya Mmakonde
Ukachora na tattoo alafu unanyanganywa tonge
Unaenjoy, unaenjoy
Ukiwa single jamani unaenjoy
Unaenjoy, unaenjoy
Ukiwa single kwa kweli unaenjoy
Unaenjoy, unaenjoy
Unaenjoy, unaenjoy
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Singo (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
BADDEST 47
Tanzania
Baddest 47 is an artist from Tanzania signed under Rooftop Entertainment. ...
YOU MAY ALSO LIKE