Kwa Kalvari Lyrics

Muda mwingi nilipotea
Sikufahamu msalaba
Wala aliyenifilia kwa Kalvari
Rehema bure na neema
Samaha nalo nilipewa
Ndipo aliponifunguaKwa Kalvari
Kwa neno lake Bwana Mungu
Nilijiona mimi mwovu
Nikageuka na kutubu kwa Kalvari
Rehema bure na neema
Samaha nalo nilipewa
Ndipo aliponifunguaKwa Kalvari
Rehema bure na neema
Samaha nalo nilipewa
Ndipo aliponifungua kwa Kalvari
Rehema bure na neema
Samaha nalo nilipewa
Ndipo aliponifungua kwa Kalvari
Yote kwa Yesu namtolea
Ndiye mfalme wa pekee sasa
Na Kwa furaha nitamwimbia kwa Kalvari
Jinsi pendo lilivyo kuu
Neema ilishuswa toka juu
Alitufanyia wokovu kwa Kalvari
Rehema bure na neema
Samaha nalo nilipewa
Ndipo aliponifunguaKwa Kalvari
Rehema bure na neema
Samaha nalo nilipewa
Ndipo aliponifunguaKwa Kalvari
Rehema bure na neema
Samaha nalo nilipewa
Ndipo aliponifunguaKwa Kalvari
Rehema bure na neema
Samaha nalo nilipewa
Ndipo aliponifunguaKwa Kalvari
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Kwa Kalvari (Single)
Added By : Farida
SEE ALSO
AUTHOR
WALTER CHILAMBO
Tanzania
WALTER CHILAMBO is a Gospel Singer and Song Writer from Tanzania. He was the winner at Epic Bo ...
YOU MAY ALSO LIKE