Nitavumilia Lyrics

Yaliniumiza nikajitia kusahau nikapenda tena
Yakaniliza tena na bado napenda
Stress za kufululiza
Nilivyo dhaifu sijui ata kusema sema
Nashukuru Mungu nahema na leo nimependa
Ndio yalivyo mapenzi
Hata huyu mpya niliye naye ananitesa
Ananikondesha,ananiendesha
Kumuacha siwezi, maana ndo moyo nilipouegesha
Mvua zikinyesha, ananiponyesha
Kwenye baridi napoa
Nitavumilia tena nishatangaza ndoa
Nitavumilia maana mababy nimepoa
Nitavumilia kutangatanga
Sio poa nitavumilia tantalala
Kanilambisha asali
Kila nikiwaza kumuacha wazo lapotea
Navua suruali
Ninatafuta na maji yakulowekea
Penzi ndo serikali
Naye ndo Rais siwezi kumfokea
Ila potelea mbali ninaridhishwa na mapenzi
Anayoniwekea
Nikinuna nalishwaga msatusatu
Sikumbuki nilishafunga chata
Tukishibaga kinachofata
Utelezi kwa makamaka
Ndo yalivyo mapenzi
Hata huyu mpya niliye naye ananitesa
Ananikondesha, ananiendesha
Kumuacha siwezi
Maana ndo moyo nilipo uwegesha
Mvua zikinyesha,ananiponyesha
Kwenye baridi napoa
Nitavumilia tena nishatangaza ndoa
Nitavumilia maana mababy nimepoa
Nitavumilia kutanga tanga
Sio poa aah! nitavumilia tatalala
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Nitavumilia (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
D LOVE
Tanzania
D Love also known as D Love Afrika is a Bongo Flava artist from Tanzania. ...
YOU MAY ALSO LIKE