Home Search Countries Albums

Nitavumilia

D LOVE

Nitavumilia Lyrics


Yaliniumiza nikajitia kusahau nikapenda tena
Yakaniliza tena na bado napenda
Stress za kufululiza
Nilivyo dhaifu sijui ata kusema sema 
Nashukuru Mungu nahema na leo nimependa

Ndio yalivyo mapenzi
Hata huyu mpya niliye naye ananitesa
Ananikondesha,ananiendesha
Kumuacha siwezi, maana ndo moyo nilipouegesha
Mvua zikinyesha, ananiponyesha

Kwenye baridi napoa
Nitavumilia tena nishatangaza ndoa
Nitavumilia maana mababy nimepoa
Nitavumilia kutangatanga
Sio poa nitavumilia tantalala

Kanilambisha asali
Kila nikiwaza kumuacha wazo lapotea 
Navua suruali
Ninatafuta na maji yakulowekea 
Penzi ndo serikali 
Naye ndo Rais siwezi kumfokea
Ila potelea mbali ninaridhishwa na mapenzi 
Anayoniwekea

Nikinuna nalishwaga msatusatu
Sikumbuki nilishafunga chata
Tukishibaga kinachofata 
Utelezi kwa makamaka

Ndo yalivyo mapenzi
Hata huyu mpya niliye naye ananitesa
Ananikondesha, ananiendesha

Kumuacha siwezi
Maana ndo moyo nilipo uwegesha
Mvua zikinyesha,ananiponyesha

Kwenye baridi napoa
Nitavumilia tena nishatangaza ndoa
Nitavumilia maana mababy nimepoa
Nitavumilia kutanga tanga
Sio poa aah! nitavumilia tatalala

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Nitavumilia (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

D LOVE

Tanzania

D Love also known as D Love Afrika is a Bongo Flava artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE