Home Search Countries Albums

Waiter

WAKALI WAO

Waiter Lyrics


Ah hebu waiter leta leta bia 
Leta glass mbili yaani weka adisia
Kuja tu na bill yaani mi nagharamia
Ni kujinyc kujinice hadi gware 

Cheki, 
Ni kuzitoka, ni kubanjuka
Ni kukatika ata kama zimeshika now
Ni kuzitoka, ni kubanjuka
Ni kukatika ata kama zimeshika now

Hii stori inanibamba, na pia inaniguza
Leo ni kusere pamoja na wasupa 
Tuko ndani ya bukla tumeshika machupa
Speed ndogo ndogo hakuna cha pupa

So, ita waiter ekelea makali mezani
Wakali mafathe hucheza magizani
Makali ma Barley najua hawawezani
Machali, machile tuwapeleke kejani

Ah, hebu waiter leta leta bia 
Leta glass mbili yaani weka adisia
Kuja tu na bill yaani mi nagharamia
Ni kujinyc kujinice hadi gware

Cheki, 
Ni kuzitoka, ni kubanjuka
Ni kukatika ata kama zimeshika now
Ni kuzitoka, ni kubanjuka
Ni kukatika ata kama zimeshika now

Kuzitoka kubanjuka, jiachilie mabega
Kama tu wahenga, kanashikanga kapienga
Mchuma ndani kwa toja nimejipin ndeng'a
Ngeus huku akinena ni marungu kumzeka
Nipige ka firimbi, nipulize ka kipenga
Mashot, nizisend, areceive kama Sender
Piga dry chok, iko form ukichomwa
Morio ngori tuko chuom, tenje anatokwa

Hebu waiter leta leta bia 
Leta glass mbili yaani weka adisia
Kuja tu na bill yaani mi nagharamia
Ni kujinyc kujinice hadi gware 

Cheki, 
Ni kuzitoka, ni kubanjuka
Ni kukatika ata kama zimeshika now
Ni kuzitoka, ni kubanjuka
Ni kukatika ata kama zimeshika now

Nishaspoti kadem niko isaa ya kushuka
Kajing nishatema niko isaa ya kutuna
Cheki tu ni late, haraka si hatuna
Walenje tu kwa pori ninaskia inakuna
Mi nakata maji, hadi isinichome liver
Na tire nitawasha, nitachoma nitaiva
Alafu late night, ni kuteka tu madiva
Kwanza ni ka nyako, mahaga kameiva

Hebu waiter leta leta bia 
Leta glass mbili yaani weka adisia
Kuja tu na bill yaani mi nagharamia
Ni kujinyc kujinice hadi gware 

Cheki, 
Ni kuzitoka, ni kubanjuka
Ni kukatika ata kama zimeshika now
Ni kuzitoka, ni kubanjuka
Ni kukatika ata kama zimeshika now

Hebu waiter leta leta bia 
Leta glass mbili  weka yaani adisia
Kuja tu na bill yaani mi nagharamia
Ni kujinyc kujinice hadi gware 

Cheki, 
Ni kuzitoka, ni kubanjuka
Ni kukatika ata kama zimeshika now
Ni kuzitoka, ni kubanjuka
Ni kukatika ata kama zimeshika now

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Waiter (Single)


Copyright : (c) 2019 Wakali Wao.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

WAKALI WAO

Kenya

Wakali Wao is a music crew from Kenya made up of Kim Swat and Iano Rankings....Prr Kang Kang. They c ...

YOU MAY ALSO LIKE