Home Search Countries Albums

Kazi yangu Ikiisha

EMACHICHI

Kazi yangu Ikiisha Lyrics


Kazi yangu ikiisha nami nikiokoka
Na kuvaa kutokuharibika
Nitamjua mwokozi nifikapo ng'amboni atakuwa wa kwanza
kunilaki

Nitamjua nitamjua nikimwona uso kwa uso
Nitamjua nitamjua kwa alama za misumari

Furaha nitapata nikiona makao
Bwana aliyoyatwandalia
Nitamsifu mwokozi kwa rehema na pendo vilivuo nipa pahali
mbinguni

Nitamjua nitamjua nikimwona uso kwa uso
Nitamjua nitamjua kwa alama za misumari

Nao waliokufa katika bwana yesu
Nitawaona tena uko juu
Lakni nifikapo kwake uko mbinguni
Nataka kumwona mwokozi kwanza

Nitamjua nitamjua nikimwona uso kwa uso
Nitamjua nitamjua kwa alama za misumari

Milangoni mwa mji bwana atanipisha
Pasipo machozi wala huzuni
Nitauwimba wimbo wa milele lakni
Nataka kumwona mwokozi kwanza

Nitamjua nitamjua nikimwona uso kwa uso
Nitamjua nitamjua kwa alama za misumari

Kazi yangu ikiisha nami nikiokoka
Na kuvaa kutokuharibika
Nitamjua mwokozi nifikapo ng'amboni atakuwa wa kwanza
kunilaki

Nitamjua nitamjua nikimwona uso kwa uso
Nitamjua nitamjua kwa alama za misumari

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2012


Album : Kazi Yangu Ikiisha (Single)


Added By : Trendy Sushi

SEE ALSO

AUTHOR

EMACHICHI

Kenya

Emmanuel Chibanda stage name Emachichi was a Kenyan-Congolese gospel singer/artist and is best ...

YOU MAY ALSO LIKE