Kazi yangu Ikiisha Lyrics
Kazi yangu ikiisha nami nikiokoka
Na kuvaa kutokuharibika
Nitamjua mwokozi nifikapo ng'amboni atakuwa wa kwanza
kunilaki
Nitamjua nitamjua nikimwona uso kwa uso
Nitamjua nitamjua kwa alama za misumari
Furaha nitapata nikiona makao
Bwana aliyoyatwandalia
Nitamsifu mwokozi kwa rehema na pendo vilivuo nipa pahali
mbinguni
Nitamjua nitamjua nikimwona uso kwa uso
Nitamjua nitamjua kwa alama za misumari
Nao waliokufa katika bwana yesu
Nitawaona tena uko juu
Lakni nifikapo kwake uko mbinguni
Nataka kumwona mwokozi kwanza
Nitamjua nitamjua nikimwona uso kwa uso
Nitamjua nitamjua kwa alama za misumari
Milangoni mwa mji bwana atanipisha
Pasipo machozi wala huzuni
Nitauwimba wimbo wa milele lakni
Nataka kumwona mwokozi kwanza
Nitamjua nitamjua nikimwona uso kwa uso
Nitamjua nitamjua kwa alama za misumari
Kazi yangu ikiisha nami nikiokoka
Na kuvaa kutokuharibika
Nitamjua mwokozi nifikapo ng'amboni atakuwa wa kwanza
kunilaki
Nitamjua nitamjua nikimwona uso kwa uso
Nitamjua nitamjua kwa alama za misumari
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2012
Album : Kazi Yangu Ikiisha (Single)
Added By : Trendy Sushi
SEE ALSO
AUTHOR
EMACHICHI
Kenya
Emmanuel Chibanda stage name Emachichi was a Kenyan-Congolese gospel singer/artist and is best ...
YOU MAY ALSO LIKE