Home Search Countries Albums

Niko Busy

TRIO MIO Feat. RENATA

Niko Busy Lyrics


AHa, Trio! Trouble yeah
(Stray Music)

Na niko mboka niko works niko busy
I got the city on my back niko tizi
Put the money in the bank if you need me
Trouble maker in the car tuko easy

Na niko mboka niko works niko busy
I got the city on my back niko tizi
Put the money in the bank if you need me
Trouble maker in the car tuko easy

Niko mboka niko works niko busy
Ngumu upate na relax niko tizi
Kuomoka huwaga luck kama CV
Hizi area ka hauna racks we ni mwizi

I'm a pedi wa mambichwa
We ni slayqueen unalishwa
Hapa kazi tuko works tuko busy
Nyi warazi hamwezi hack usingizi

Ukilalisha rasa niko busy nasaka
Kama city na basa ni matiki nataka
Hakuna kiki nafuata hii mziki ni janta
Kujiamini ndo mantra, sishikiki ni frakas

Trio Mio niko ndakas, niko very inside
Game ni circus ni majoh ka bitter 
Mi ni disaster ukidiss na rapture
Ka si ni biz nachapa hio simu decline 

Na niko mboka niko works niko busy
I got the city on my back niko tizi
Put the money in the bank if you need me
Trouble maker in the car tuko easy

Na niko mboka niko works niko busy
I got the city on my back niko tizi
Put the money in the bank if you need me
Trouble maker in the car tuko easy

Trio Mio mkurugenzi wa jiji
Mwenye kiti kamati ya machizi
Rada safi nicheki kwa TV
Mtumishi wananiita kasisi

Sibahatishi ni mazishi 
Hamnilishi hamnivishi
Uliomoka masimu hushiki
Niliwatoka nasonga vi tricky

Sipatikani yaani niko mahali fulani
Ka si biz inajipa hatusaidiani
Nimekupima uzani hatufanani kazi
Usanii ni journey nimetoka mbali

Mi ni Khali myoung OG Jones
Nyi ni mastude mi ndio Odijo
Pigwa pano osha corridor
Trio ngori bro, flow horrible 

Na niko mboka niko works niko busy
I got the city on my back niko tizi
Put the money in the bank if you need me
Trouble maker in the car tuko easy

Na niko mboka niko works niko busy
I got the city on my back niko tizi
Put the money in the bank if you need me
Trouble maker in the car tuko easy

RENATA
Na roll na magoons wanazoza
Pesa sabuni naoga mkiamka ndo nakaokota
Maringo na bado hamjaomoka

Shawty wa jiji nazoza kwa jiji
So cheza na peng usigamble na mi
Mi niko wera natafta riziki 
So kama hailipi achana na mi

Utiaji imeanza siku hizi
Ndio maana hizo simu sizishiki
Ati babe utakujia miti
What? Niko mboka niko works niko busy

Pedi msupuu the East DOn 
Ukileta noma tuko feast on
Mbogi inakuja na saucer
Bon appetit si ni makosa

Mbogi inakuja na saucer
Mbogi inakuja na saucer
Mbogi inakuja na saucer
Mbogi inakuja na saucer

Mboka niko works niko busy
Got the city on my back niko tizi
Put the money in the bank if you need me
Trouble Trouble Trouble!

 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Niko Busy (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

TRIO MIO

Kenya

Trio Mio real name TJ Mario Kasela also known as T.J (Thank you Jesus) or "Mkurugenzi ...

YOU MAY ALSO LIKE