Home Search Countries Albums

Bwana Nifungulie

Stanley Thiaine

Read en Translation

Bwana Nifungulie Lyrics


Nime teseka sana

Lakini Mungu wangu hukuniasha nife

Kwa hivyo sita kufa

Mbali nitaishi mimi

Niyasimulie Mungu

Matendo yako Baba

Matendo yako Baba

Bwana Nifungulie

Malango ya haki ningie

Bwana Nifungulie

Malango ya haki ningie

Bwana Nifungulie

Malango ya haki ningie

Bwana Nifungulie

Malango ya haki ningie

Baba na mama yangu

Wameniasha mimi

Lakini Eewe Bwana

Utanikaribisha Kwako

Kwako Mungu wangu

Nalitupwa mimi kutoka utotoni,

Mungu wangu uuu

Bwana Nifungulie

Malango ya haki ningie

Bwana Nifungulie

Malango ya haki ningie

Bwana Nifungulie

Malango ya haki ningie

Bwana Nifungulie

Malango ya haki ningie

Umeniokoa Baba

Nashinda ya kule mjini

Umeniokoa Baba na taabu ya kule nyikani

Umeniokoa Baba na dhiki ya baharini

Kwa hivyo Mungu wangu haukuniasha nife

Kwa hivyo sitakufa

Mbani nitaishi mimi niyasimulie Mungu

Matendo yakooo

Niyasimulie Mungu matendo yakooo

Bwana Nifungulie

Malango ya haki ningie

Bwana Nifungulie

Malango ya haki ningie

Bwana Nifungulie

Malango ya haki ningie

Bwana Nifungulie

Malango ya haki ningie

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2024


Album : (Single)


Added By : Stanley Thiaine

SEE ALSO

AUTHOR

Stanley Thiaine

Kenya

...

YOU MAY ALSO LIKE