Barua Kwa Wakenya Lyrics

Vilio na sauti za wakenya zimefika mbinguni
Milango ya rehema imefunguliwa
Machozi ya wanyonge waliodhulimiwa
Duniani
Dua zao zote zitajibiwa
Watoto wanalia njaa a-a-a
Wazazi wao wamefutwa kazi
Mipaka nayo yote imefungwa a-a-a
Hatuwezi onana na ndugu zetu
Tumaini kama taifa limedidimia
Shida tunazopitia Mungu saidia
Tumaini kama taifa limedidimia
Shida tunazopitia Mungu utusaidie
Tumaini kama taifa limedidimia
Shida tunazopitia Mungu saidia
Tumaini kama taifa limedidimia
Shida tunazopitia Mungu utusaidie
Itakua sawa, itakua sawa, itakua sawa (Kenya nisikie)
Itakua sawa, itakua sawa, itakua sawa Vumulia)
Itakua sawa, itakua sawa, itakua sawa (Kenya nisikie)
Itakua sawa, itakua sawa, itakua sawa Vumulia)
Idadi ya waumini kanisani imepungua
Wanafunzi mashuleni ndoto zao zimefifia
Madakitari nao uoga umetawala
Giza limetanda taharuki tunaogopana
Bei za bidhaa zimepanda (Panda)
Uchumi kila kona unazorota
Tukimbilie wapi Kenya
Bei za bidhaa zimepanda
Uchumi kila kona unazorota
Mungu tawala taifa tunakulilia
Itakua sawa, itakua sawa, itakua sawa (Kenya nisikie)
Itakua sawa, itakua sawa, itakua sawa Vumulia)
Itakua sawa, itakua sawa, itakua sawa (Kenya nisikie)
Itakua sawa, itakua sawa, itakua sawa Vumulia)
Tumaini kama taifa limedidimia
Shida tunazopitia Mungu saidia
Tumaini kama taifa limedidimia
Itakua sawa, itakua sawa, itakua sawa (Kenya nisikie)
Itakua sawa, itakua sawa, itakua sawa Vumulia)
Itakua sawa, itakua sawa, itakua sawa (Kenya nisikie)
Itakua sawa, itakua sawa, itakua sawa Vumulia)
Shida tunazopitia Mungu utusaidie
Shida tunazopitia Mungu utusaidie
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Barua Kwa Wakenya (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
SERVANT BOYS
Kenya
Servant Boys is a Kenya based music duo doing contemporary urban music.The two, Walter Ouru (Ri ...
YOU MAY ALSO LIKE