Aheri Lyrics
Mmmmhh mmmmh
Mmmmhh mmmmh
Mmmmhh mmmmh
Uliniahidi maisha yaliyo na raha
Na ukaniahidi maisha bila mashaka
Ni nini ilitendeka baada ya ndoa
Ni nini ilitendeka baada ya kupa we wana
Kila siku mimi nilimuomba mwenyezi
Anipe mume atakaye ni enzi
Ingawaje vigumu kunipa lako penzi
When you promised me to be the only lady
Aheri, Aheri
Aheri ga, amanyi ga, agombi ga
Aheri, Aheri
Aheri, aheri, aheri...
Aheri, Aheri, aheri
Aheri, Aheri eeeh
Aheri, Aheri oooh...
Aheri aheri aheri
Aheri aheri aheri
Uliniahidi mapenzi
Nienzi ooh cherry
Na mimi nikakuahidi mapenzi
Kwenye faraja na dhiki
Ni vipi saa sikuelewi
Shida sio umasikini daddy
Mapenzi pilipili
Tena kageuka shubiri
Lakini bado nakupenda
Sitawai kuacha
Tufurahie pamoja
Hata kama kwa bodaboda
Bado nakupenda
Sitawai kuacha
Tufurahie pamoja
Hata kama kwa bodaboda
Aheri, Aheri
Aheri ga, amanyi ga, agombi ga
Aheri, Aheri
Aheri, aheri, aheri...
Aheri, Aheri, aheri
Aheri, Aheri eeeh
Aheri, Aheri oooh...
Aheri aheri aheri
Aheri aheri aheri
Ninakuenzi mpenzi
Ninakuenzi my beiby
Stay with me with our family
Oooh I love you
My beiby I love you my love
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2019
Album : Aheri (Single)
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
SERRO
Kenya
Serro real name Serro Hulda is an artist, songwriter, performer based in Nairobi, Kenya. S ...
YOU MAY ALSO LIKE