Home Search Countries Albums

Mdaka Mdakiwa

SANAIPEI TANDE

Mdaka Mdakiwa Lyrics


Aje aje, aje nimpende
Aje aje, aje nimpende

Nimeshayasikia mwanamke kamilika (Aah)
Ni yule aleolewa na kuanza familia (Aah)
Ninaye nimpendaye, ameshindwa na kunena eeh (Aah)
Ana zake tu haya naifahamu si ulaghai (Aah ah ah ah)

Nami si lai lai lai
Kwa kuwa wadai dai dai
Mwanamke hafai fai fai
Kujaribu anapopata kigae chake

Mdaka mdakiwa, mdaka mdakiwa aaah
Mdaka mdakiwa, kwanini mdaka asiwe mdakiwa?
Mdaka mdakiwa, mdaka mdakiwa aaah
Mdaka mdakiwa, kwanini mdaka asiwe mdakiwa?

Aje aje, aje nimpende
Aje aje, aje nimpende

Nataka mkaribia nimwambie jinsi 
Anavyotia moyo wangu joto, ooh ooh
Ila sitaki mi kumwaibisha 
Nina haja tu ya kumhamsisha
Akubali awe wangu na pete kunivisha

Nami si lai lai lai
Kwa kuwa wadai dai dai
Mwanamke hafai fai fai
Kujaribu anapopata kigae chake

Mdaka mdakiwa, mdaka mdakiwa aaah
Mdaka mdakiwa, kwanini mdaka asiwe mdakiwa?
Mdaka mdakiwa, mdaka mdakiwa aaah
Mdaka mdakiwa, kwanini mdaka asiwe mdakiwa?

Aje aje, aje nimpende
Aje aje, aje nimpende

Dunia inageuka, geuka geuka nami
Mambo nayo yageuka, geuka geuka nami
Mila nazo zageuka, geuka geuka nami
Watu nao wageuka, geuka geuka nami

Dunia inageuka, geuka geuka nami
Mambo nayo yageuka, geuka geuka nami
Mila nazo zageuka, geuka geuka nami
Watu nao wageuka, geuka geuka nami

Gege!

Mdaka mdakiwa, mdaka mdakiwa aaah
Mdaka mdakiwa, kwanini mdaka asiwe mdakiwa?
Mdaka mdakiwa, mdaka mdakiwa aaah
Mdaka mdakiwa, kwanini mdaka asiwe mdakiwa?

Mdaka mdakiwa, mdaka mdakiwa aaah
Mdaka mdakiwa, kwanini mdaka asiwe mdakiwa?
Mdaka mdakiwa, mdaka mdakiwa aaah
Mdaka mdakiwa, kwanini mdaka asiwe mdakiwa?

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Mdaka Mdakiwa (Album)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

SANAIPEI TANDE

Kenya

Natasha Sanaipei Tande, better known as Sanaipei Tande or simply Sana, is a Kenyan singer, songwrite ...

YOU MAY ALSO LIKE