Bariki Chokora Lyrics

Mungu ukibariki bariki chokora
Mungu ukiinua inua chokora
Mungu ukibariki bariki chokora
Mungu ukiinua inua chokora
Kuokota mapipani, gunia mgongoni
Tumboni sina kitu Mungu nisaidie
Kuokota mapipani, gunia mgongoni
Tumboni sina kitu Mungu nisaidie
Mungu ukibariki bariki chokora
Mungu ukiinua inua chokora
Mungu ukibariki bariki chokora
Mungu ukiinua inua chokora
Kila ninapoenda watu wanichukia
Matusi kila kona eh Mungu nikumbuke
Kila ninapoenda watu wanichukia
Matusi kila kona eh Mungu nikumbuke
Mungu ukibariki bariki chokora
Mungu ukiinua inua chokora
Mungu ukibariki bariki chokora
Mungu ukiinua inua chokora
Malazi mimi sina, mavazi pia shida
Machozi kila mara Mungu niinue
Malazi mimi sina, mavazi pia shida
Machozi kila mara Mungu niinue
Mungu ukibariki bariki chokora
Mungu ukiinua inua chokora
Mungu ukibariki bariki chokora
Mungu ukiinua inua chokora
Machozi mi nalia, mimi nikikumbuka
Jinsi chokora wanadhulumiwa
Machozi mi nalia, mimi nikikumbuka
Jinsi chokora wanadhulumiwa
Mungu ukibariki bariki chokora
Mungu ukiinua inua chokora
Mungu ukibariki bariki chokora
Mungu ukiinua inua chokora
Ibariki, inua (Inua chokora)
Ibariki, inua (Inua chokora)
Ibariki, inua (Inua chokora)
Ibariki, inua (Inua chokora)
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Bariki Chokora (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE