Alele Lyrics
Its Bob Manecky.. Heeh yeaah...
Nikisema nitakufa
Kisa mapenzi, moyoni nitamkosea
Wanayadhani nina ufa
Hakuna mwenzangu, nyumba inamdondokea
Mi najua
Sina dhamani kwako utanikumbuka
Nishatenda wema
Mi nakwenda zangu utanikumbuka
Poleza na moyo we, mwaya we
Najua amekuumiza
Ila yupo mungu, baba
Najua atalipiza
Pole sana moyo, mwaya
Najua amekuumiza
Ila yupo mungu,baba
Najua atalipiza
Alele, nishalia
Alele, nikaumia
Alele, sina dhamani kwako
Alele, mtima ulilia
Alele, maana wengine wapo...
Alele, nishalia
Alele, nikaumia
Alele, sina dhamani kwako
Alele, mtima ulilia
Alele, maana wengine wapo...
Kwa mitaa jamaa anaandamana
Kweli mapenzi yanaliliwaa
Niliachaga drama na ujana
Eey yeah...
Yalianzaga enzi
Ikanenaga na nafsi acha nivumilie
Jamani mapenzi
Yamekuwa hadithi acha nisimulie
Poleza na moyo we, mwaya we
Najua amekuumiza
Ila yupo mungu, baba
Najua atalipiza
Pole sana moyo, mwaya
Najua amekuumiza
Ila yupo mungu,baba
Najua atalipiza
Alele, nishalia
Alele, nikaumia
Alele, sina dhamani kwako
Alele, mtima ulilia
Alele, maana wengine wapo...
Alele, nishalia
Alele, nikaumia
Alele, sina dhamani kwako
Alele, mtima ulilia
Alele, maana wengine wapo...
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2019
Album : Alele (Single)
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
RUBY
Tanzanie
Ruby est une chnateuse tanzanienne et une reine de beauté . Elle est principalement connue po ...
YOU MAY ALSO LIKE