Aende Lyrics

Hivi ushawahi kupata
Wakukuumiza kichwa
Wakukuchanganya eeeh
Hivi ushawahi japo kubahatisha
Wakukulishisha ukazama
Nyie wenyewe kuweza
Mtu unabembelezwa
Mixer kukandwa kandwa mmmhh
Unaseviwa kingereza
Anakudekeza alaf anakuganda aaaaaahhh
Jamani mepenzi
Kupendwa kuna raha zake oooh
Jamani mahaba
Mapenzi yanautamu wake, mwakee
Ukimpata wako pendana nae
Pendana nae usimuache aende aaahh
Ukimpata wako ng’ang’ana nae
Gandana nae usimuache aende
Alivyo alivyo anapendeza
Mungo kamuongeza
Kama ye hayupo
Mfano wapo haupo
Kanitengeneza zanzibar pemba
Ndo maana nipo, nipooo
Jamani mepenzi
Kupendwa kuna raha zake oooh
Jamani mahaba
Mapenzi yanautamu wake, mwakee
Ukimpata wako pendana nae
Pendana nae usimuache aende aaahh
Ukimpata wako ng’ang’ana nae
Gandana nae usimuache aende
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2025
Album : (Single)
Added By : Farida
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE