Home Search Countries Albums

Babilon

RICH MAVOKO

Babilon Lyrics


Natoka Bongo wala si Congo
Mida ya fisi na maza tunauza gongo
Life ulufombo, watu wana nyongo
Upate kitu kidogo upigwe dongo

Usije fosi battle mi ni business man
Utacheza mdaku ka utashindwa shine(Yeah yeah yeah)
Wanaishi Babilon system
Jifanye huna nguvu ugawe wazi

Wanasema kelele
Mwenzake chura
Ukijaribu kufosi kingi
Utanyimwa hadi kura

Mwanangu we ukitoka usirudi
Fanya tu tupate dishi tuishi gudi
Watakupa maseke kusudi
Ili tu wakutoe kwenye mudi

Kila sehemu nayatimba
Wahusika wanajificha
Masnichi wanazima taa

Nikiwa ndani na manigga
Wamambwiga, walofika
So lazima watashangaa

Na wanangu wewe(wewe)
Wewe(wewe) Wewe(wewe) Wewe
Na wachumba wewe(wewe)
Wewe(wewe) Wewe(wewe) Wewe

Come here and see
Wakati nacho fanya ni lazima kihit
Come here, come here, come here and see
Wakati nacho fanya ni lazima kihit

Kwetu hatuwezi
Kuvumilia ngumi na panga mkononi
Ukielekeza mapenzi
Utakwanguliwa uwe bwege mtozeni

Kinja kinja nachinja
Usije ukayumba
Kama unakuja na dinga
Nifiche kwenye jumba

Ya kwanza mi nikipata eeh
Nikipata eeh(Wahuni tu nimwage)
Na nyumbani kwa maza eeh
Kwa maza eeh(Lazima nizimwage)

Mwanangu we ukitoka usirudi
Fanya tu tupate dishi tuishi gudi
Watakupa maseke kusudi
Ili tu wakutoe kwenye mudi

Kila sehemu nayatimba
Wahusika wanajificha
Masnichi wanazima taa

Nikiwa ndani na manigga
Wamambwiga, walofika
So lazima watashangaa

Na wanangu wewe(wewe)
Wewe(wewe) Wewe(wewe) Wewe
Na wachumba wewe(wewe)
Wewe(wewe) Wewe(wewe) Wewe

Natoka Bongo 255
Tafuta kazi hiyo si kazi wewe

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Babilon (Single)


Copyright : (c) 2019


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

RICH MAVOKO

Tanzania

RICH MAVOKO is  a musician from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE