Home Search Countries Albums
Read en Translation

Nyamaza Lyrics


Weka pombe sigara chini subiri tuongee
Zima kijiti marijuana za nini? Ngoja tuongee
Mbona ulisema mengi ukitaka nipotee
Sa umefanya nini? Na ulisema nini wala usijitetee

Macho hayana pazia
Nilimwona navutia
Naye kanikubalia
Kumbe moyoni unaumia

Dunia imejaa visanga
Ubinadamu umekuwa majanga
Tembo amefungwa kwa banda
Anataka kula kuku pia na vifaranga

Mungu tu akusamehe
Wewe ni kama ndugu yangu
Upunguze ma ugali
Uadui wa nini mwenzangu we

Ukitenda kosa na haujaomba radhi unakosea (Kosea)
Mama yake mzazi huruma ungemwonea (Mwonea)

Chunga kinywa kiwe na kituo
Hekima ndo iwe funguo
Maneno ya nini? Unajivua nguo
Kumbuka ulimwengu ni kama chuo

Ungenyamaza, bora ungenyamaza
Kaa kimya kama huna la maaana
Ungenyamaza, bora ungenyamaza
Ukikosa heshima bora kukaa kimya
Ungenyamaza, bora ungenyamaza
Bora ungenyamaza
Ungenyamaza tu, bora ungenyamaza
Kuwa muungwana

Mmmmh hasira hasara
Mimi ni ndugu yako kanitoa kafara
Ukakesha hukutaka kulala
Ukipambana niharibikiwe kaka wa Mtwara

Ukasahau mapenzi ni siri
Tena siri ya wawili
Kilichokuponza maadili
Tamaa ukashindwa isitiri

Tunza heshima yako
Na mashabiki wako hadi mbungeni
Na unapotongoza warembo
Boxer usiweke pembeni

Macho hayana pazia
Nilimwona navutia
Naye kanikubalia
Kumbe moyoni unaumia

Ukitenda kosa na haujaomba radhi unakosea (Kosea)
Mama yake mzazi huruma ungemwonea (Mwonea)

Chunga kinywa kiwe na kituo
Hekima ndo iwe funguo
Maneno ya nini? Unajivua nguo
Kumbuka ulimwengu ni kama chuo

Ungenyamaza, bora ungenyamaza
Kaa kimya kama huna la maaana
Ungenyamaza, bora ungenyamaza
Ukikosa heshima bora kukaa kimya
Ungenyamaza, bora ungenyamaza
Bora ungenyamaza
Ungenyamaza tu, bora ungenyamaza
Kuwa muungwana

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Nyamaza (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

RAYVANNY

Tanzania

Raymond Shaban Mwakyusa (born 22 August 1993), better known by his stage name Rayvanny, is a Tanzani ...

YOU MAY ALSO LIKE