Nyamaza Lyrics

Weka pombe sigara chini subiri tuongee
Zima kijiti marijuana za nini? Ngoja tuongee
Mbona ulisema mengi ukitaka nipotee
Sa umefanya nini? Na ulisema nini wala usijitetee
Macho hayana pazia
Nilimwona navutia
Naye kanikubalia
Kumbe moyoni unaumia
Dunia imejaa visanga
Ubinadamu umekuwa majanga
Tembo amefungwa kwa banda
Anataka kula kuku pia na vifaranga
Mungu tu akusamehe
Wewe ni kama ndugu yangu
Upunguze ma ugali
Uadui wa nini mwenzangu we
Ukitenda kosa na haujaomba radhi unakosea (Kosea)
Mama yake mzazi huruma ungemwonea (Mwonea)
Chunga kinywa kiwe na kituo
Hekima ndo iwe funguo
Maneno ya nini? Unajivua nguo
Kumbuka ulimwengu ni kama chuo
Ungenyamaza, bora ungenyamaza
Kaa kimya kama huna la maaana
Ungenyamaza, bora ungenyamaza
Ukikosa heshima bora kukaa kimya
Ungenyamaza, bora ungenyamaza
Bora ungenyamaza
Ungenyamaza tu, bora ungenyamaza
Kuwa muungwana
Mmmmh hasira hasara
Mimi ni ndugu yako kanitoa kafara
Ukakesha hukutaka kulala
Ukipambana niharibikiwe kaka wa Mtwara
Ukasahau mapenzi ni siri
Tena siri ya wawili
Kilichokuponza maadili
Tamaa ukashindwa isitiri
Tunza heshima yako
Na mashabiki wako hadi mbungeni
Na unapotongoza warembo
Boxer usiweke pembeni
Macho hayana pazia
Nilimwona navutia
Naye kanikubalia
Kumbe moyoni unaumia
Ukitenda kosa na haujaomba radhi unakosea (Kosea)
Mama yake mzazi huruma ungemwonea (Mwonea)
Chunga kinywa kiwe na kituo
Hekima ndo iwe funguo
Maneno ya nini? Unajivua nguo
Kumbuka ulimwengu ni kama chuo
Ungenyamaza, bora ungenyamaza
Kaa kimya kama huna la maaana
Ungenyamaza, bora ungenyamaza
Ukikosa heshima bora kukaa kimya
Ungenyamaza, bora ungenyamaza
Bora ungenyamaza
Ungenyamaza tu, bora ungenyamaza
Kuwa muungwana
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Nyamaza (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
RAYVANNY
Tanzania
Raymond Shaban Mwakyusa (born 22 August 1993), better known by his stage name Rayvanny, is a Tanzani ...
YOU MAY ALSO LIKE