Home Search Countries Albums

Mahaba

RAWBEENA

Mahaba Lyrics


Na mapenzi yanabana
Yanachanganya akili
Washa hisia ukaraha 
Yaani tamu pilipili

Si unajua vile nakufeel yoh
Oooh nakufeel
Si unajua kwako sina kilio
Sina akili

Usiku kucha nakuwaza 
Itakuwa vipi ukiondoka?
Sa sitakuwa sina maana 
Nitatembea na robokaa

Leo kifani kwako najilaza
Sitaki hata kuchoka
Sa usijefanya vioja
Ndo itakuwa tareeta

Unavyonipea raha
Naenjoy mahaba
Usije nitenga
Tuenjoy mahaba

Unavyonipa raha
Naenjoy mahaba
Usije nitenga
Tuenjoy mahaba

Na moyo huu mi nakupatia 
Kamata, kazi simamia
Hakuna siku utakuja lia 
Nakataa, nimekuridhia

Na penzi tamu unapoingia matata
Changanya hisia
Niwe wa kwako tena kumbatia mbambata
Aii my dear

Na kwenye penzi nimeshazama
Sisikii sioni
Napendaga usiku ukinitazama
Tukiwa ndotoni

Nakula raha naenjoy nyama
Nakulamba kuni
Si unajua ya mambo na mtu na mtu
Ndio maana sioni

Usiku kucha nakuwaza 
Itakuwa vipi ukiondoka?
Sa sitakuwa sina maana 
Nitatembea na robokaa

Leo kifani kwako najilaza
Sitaki hata kuchoka
Sa usijefanya vioja
Ndo itakuwa tareeta

Unavyonipea raha
Naenjoy mahaba
Usije nitenga
Tuenjoy mahaba

Unavyonipa raha
Naenjoy mahaba
Usije nitenga
Tuenjoy mahaba

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Mahaba


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

RAWBEENA

Kenya

Rawbeena is an artist from Kenya based in Finland. ...

YOU MAY ALSO LIKE