Wanangu Lyrics

Nina love na wanangu wote
Niggaz I can die for
Hard times good times Tupo wote
Ibaki hivyo
Nina love na wanangu wote
Niggaz I can die for
Hard time good times Tupo wote
Hao ndo nashiba nao
Hao ndo nashinda nao njaa
Hao ndio nnaokula nao raha
Hao ndio napambana nao kwenye mabalaa
Tumeanza from nothing to something tokea mtaa
Walipo mi Nipo
Na huwezi kuwa-diss ka mi nipo
Afu Lifestyle yetu easy kama kawa
Nna-roll na wanangu err-day sina chawa (yeh)
Popote nnapokua na marafiki upendo unaonekana
Usilete pigo zako za unafiki eeeeh eehh
Sema nao wana
Wenye Love na mie (Wana)
Watoto kali na ma-gangsta
Mtaani nina wana
Wenye love na mie (WANA)
Watoto wakali na ma-gangsta
Wanao gucci gang afu mi msela
Wanapenda slope eh!? waambie kuna jela
Wao wakiona tuna-flex huwa inawakera
Ndo maana hatu-mix nao coz we ain’t jealous
Washakuwepo wana waliojaa cheko Nlipokuepo
Nilipotoka wakaniua (Aaaf nawajua)
Hapa nlipo sio mchezo jua
Uliza kiatu, kwanza bei yake unaijua!?
No shobo, mikausho mob
Mi na marafiki zangu no shobo
No shobo mikausho mob
Mi na marafiki zangu no shobo
Kaa mbali pande za wanangu ni hatari (Yeah)
Hatutegemei zali, puff puff moshi kwenye dari (Yeah)
Popote nnapokua na marafiki upendo unaonekana
Usilete pigo zako za unafiki eeeeh
Sema nao wana
Wenye Love na mie (Wana)
Watoto kali na magangster
Mtaani nina wana
Wenye love na mie (Wana)
Watoto wakali na ma gangster
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Wanangu 99 (Album)
Copyright : (c) 2021 Bongo Records
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
RAPCHA
Tanzania
Rapcha aka The Last King of 90’s, real name Cosmas Paul Mfoy is a young rapper from Tanza ...
YOU MAY ALSO LIKE