Accueil Recherche Pays Albums

Bimbilika

Q CHIEF

Bimbilika Lyrics


Haya bimbilika 
Mi nikipiga zangu zeze
Leo ngoma tuicheze

Haya bimbilika 
Mi nikipiga zangu zeze
Funga kibwebwe
Leo ngoma tuicheze

Nah nah nah nah nah
Nah nah nah nah njagalana 
Nah nah nah nah nah...

Kwa kiasi kikubwa umenipendeza
Nimeona niseme mapema 
Maana pendo langu ndo nadhiri

Na nadunduliza, nabangaiza
Nipate visenti 
Kitoweo nilete kwako

My baby no-no, No No 
Naona hunielewi
Kama ni moto umekolea
Penzi langi nalichochea

Namwaga mbolea, pendo linamea
Chuki dedea, najidekea

Mi samaki kwenye maji
Machozi yangu huwezi kuyaona
Pumzi yangu darling ni wewe

Haya bimbilika 
Mi nikipiga zangu zeze
Funga kibwebwe
Leo ngoma tuicheze

Haya bimbilika 
Mi nikipiga zangu zeze
Funga kibwebwe
Leo ngoma tuicheze

Naomba usiende mbali sana
Naona kama ukienda haurudi
Na ndo maana popote uwapo
Napendaga nijue

Usione kero
Watu wangu wajue kama nakupenda kweli
Na malengo
Na mipango nawe

Neno ni neno
Maneno ni mengi sipendi kukudanganya
Mapenzi ya mbele wachia kina kajala
Hakuna mwingine nakuomba dance nikuone

Namwaga mbolea, pendo linamea
Chuki dedea, najidekea

Mi samaki kwenye maji
Machozi yangu huwezi kuyaona
Pumzi yangu darling ni wewe

Haya bimbilika 
Mi nikipiga zangu zeze
Funga kibwebwe
Leo ngoma tuicheze

Haya bimbilika 
Mi nikipiga zangu zeze
Funga kibwebwe
Leo ngoma tuicheze

Mi samaki kwenye maji
Machozi yangu huwezi kuyaona
Pumzi yangu darling ni wewe

Haya bimbilika 
Mi nikipiga zangu zeze
Funga kibwebwe
Leo ngoma tuicheze

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Bimbilika (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

Q CHIEF

Tanzanie

Q Chief is an artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE