Home Search Countries Albums

Twafanana

PLATFORM

Twafanana Lyrics


Mmmmh mmmmh mmmmh
Mmmmh mmmmh mmmmh

Masimango yani chungu nzima
Ukanionyesha madharau
Kumbe nikijishusha ye mwenzangu
Ananishusha dau
Nilichopata nilikupa aah
Japo uliniona mi nyang’au
Yani ulinifubaza nichakaza sitamaniki tena

Hivi sasa napendwa aah eeh
Tena nadekezwa aah eeh
Kibanda nshajenga aah eeh
Tena tushaanza kufanana
Ye ndo mama mi Baba
(Twafanana twafanana twafanana)
Uuuh baby ooh
(Twafanana twafanana twafanana)
Mi ni utambi na ye ndo koroboi
(Twafanana twafanana twafanana)
Ye ndo pete kidole sichomoi
(Twafanana twafanana twafanana)
Uuuh baby ooh

Mmmh
Mi nay eye pika pakua
Sasa wajumbe wa nini wajisumbua
Au audio wajifanya unanijuwa sana
Makapi ya nini nishakutua
Sasa ya nini kuficha siri
Anajuwa tena ni mahiri
Mapaochopocho ona nanawiri
Oohna nanawiri
Mimi kwake kindagate
Ndio kwanza nasoma ei ei
Kama mutoto siongei
Tena nazidi panda bei iyo wewe

Hivi sasa napendwa aah eeh
Tena nadekezwa aah eeh
Kibanda nshajenga aah eeh
Tena tushaanza kufanana
Ye ndo mama mi Baba
(Twafanana twafanana twafanana)
Uuuh baby ooh
(Twafanana twafanana twafanana)
Mi ni utambi na ye ndo koroboi
(Twafanana twafanana twafanana)
Ye ndo pete kidole sichomoi
(Twafanana twafanana twafanana)
Uuuh baby ooh
Fanana twafanana
Babay
Fanana twafanana uuyeee
Twafanana fanana

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Twafanana (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

PLATFORM

Tanzania

Platform is a Bongo Flava recording artist/ Singer/ Songwriter/ dancer and a businessman from Tanga, ...

YOU MAY ALSO LIKE