Home Search Countries Albums

Tujenge

PITSON Feat. MERCY MASIKA

Tujenge Lyrics


Ndege wako na mahali pa kuenda jioni
Wanyama wa porini, jua likitua pangoni
Samaki wa majini, wana makao baharini
Wako mpangoniii..

Na kuna mkenya hana nyumba mahali(wooo)
Na zile ziko hawezi kumudu, bei ghali
Analilia serikaliii
Ategemea serikaliii

Tuanzeni kujenga
Watoto wetu wasikose mahali pa kwenda
Chukua mawe na simiti weka kwa mabega

Tunajenga aaaah
Tunajenga aaaah
Aaah...muanze tujenge
Aaah...tujenge
Aaah...tujenge

Kukinyesha tusinyeshewe tuwe salama
Serikali kaingilia kapunguza gharama
Today is finally here, tunahama

Finally usalama kwa wote(kwa wote)
Hata yule mapato ni duni malazi yu apata(apara)
Sisi wanaKenya tunajijenga

Tuanzeni kujenga
Watoto wetu wasikose mahali pa kwenda
Chukua mawe na simiti weka kwa mabega

Tunajenga aaaah
Tunajenga aaaah

The journey starts 
With you and with me(mi na we)
Freedom is here beautiful day
(Beautiful day)

Mimi na wewe ndio wenye nchi
Tujenge pamoja

Tuanzeni kujenga
Watoto wetu wasikose mahali pa kwenda
Chukua mawe na simiti weka kwa mabega

Tunajenga aaaah
Tunajenga aaaah

Tuanzeni kujenga
Watoto wetu wasikose mahali pa kwenda
Chukua mawe na simiti weka kwa mabega

Tunajenga aaaah
Tunajenga aaaah

Tuanzeni kujenga
Watoto wetu wasikose mahali pa kwenda
Chukua mawe na simiti weka kwa mabega

Tunajenga aaaah
Tunajenga aaaah

Tuanzeni kujenga
Watoto wetu wasikose mahali pa kwenda
Chukua mawe na simiti weka kwa mabega

Tunajenga aaaah
Tunajenga aaaah

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Tujenge (Single)


Copyright : All rights to the owner.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

PITSON

Kenya

Pitson Geither is a Gospel Artist, Song Writer, Performing & Recording Artist from ...

YOU MAY ALSO LIKE