Tujenge Lyrics
Ndege wako na mahali pa kuenda jioni
Wanyama wa porini, jua likitua pangoni
Samaki wa majini, wana makao baharini
Wako mpangoniii..
Na kuna mkenya hana nyumba mahali(wooo)
Na zile ziko hawezi kumudu, bei ghali
Analilia serikaliii
Ategemea serikaliii
Tuanzeni kujenga
Watoto wetu wasikose mahali pa kwenda
Chukua mawe na simiti weka kwa mabega
Tunajenga aaaah
Tunajenga aaaah
Aaah...muanze tujenge
Aaah...tujenge
Aaah...tujenge
Kukinyesha tusinyeshewe tuwe salama
Serikali kaingilia kapunguza gharama
Today is finally here, tunahama
Finally usalama kwa wote(kwa wote)
Hata yule mapato ni duni malazi yu apata(apara)
Sisi wanaKenya tunajijenga
Tuanzeni kujenga
Watoto wetu wasikose mahali pa kwenda
Chukua mawe na simiti weka kwa mabega
Tunajenga aaaah
Tunajenga aaaah
The journey starts
With you and with me(mi na we)
Freedom is here beautiful day
(Beautiful day)
Mimi na wewe ndio wenye nchi
Tujenge pamoja
Tuanzeni kujenga
Watoto wetu wasikose mahali pa kwenda
Chukua mawe na simiti weka kwa mabega
Tunajenga aaaah
Tunajenga aaaah
Tuanzeni kujenga
Watoto wetu wasikose mahali pa kwenda
Chukua mawe na simiti weka kwa mabega
Tunajenga aaaah
Tunajenga aaaah
Tuanzeni kujenga
Watoto wetu wasikose mahali pa kwenda
Chukua mawe na simiti weka kwa mabega
Tunajenga aaaah
Tunajenga aaaah
Tuanzeni kujenga
Watoto wetu wasikose mahali pa kwenda
Chukua mawe na simiti weka kwa mabega
Tunajenga aaaah
Tunajenga aaaah
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2019
Album : Tujenge (Single)
Copyright : All rights to the owner.
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
PITSON
Kenya
Pitson Geither is a Gospel Artist, Song Writer, Performing & Recording Artist from ...
YOU MAY ALSO LIKE