Home Search Countries Albums

Doh Salaleh

PHINA

Doh Salaleh Lyrics


Doh salaleh
Nimeachwa
Doh doh nimepigwa kibuti

Eti kisa jana nimelala na nguo
Anataka mapenzi kwa mkupuo
Anasema sijui ku handle
Nikajifunze chuo mmmh nimeachwa
Anantesa nampenda
Japo rangi yake ka jaluo
Asubuhi mchana usiku mizagamuo
Mi siwezi nimeachwa
Natamani nilewe
Ila sa nikilewa pombe nazo zinadhuka chini
Nami sina wa hubani  n’tafanya nini
Yalah weh

Doh salaleh
Nimeachwa
Doh doh nimepigwa kibuti
Doh salaleh
Nimeachwa
Doh doh nimepigwa kibuti

Ayana urafiki mapenzi (ooh mapenzi)
Ayana ushikaji mapenzi (ooh mapenzi)
Magodoro yamelowana
Ayana afadhali mapenzi (ooh mapenzi)
Huku wangu sio shwari mapenzi (ooh mapenzi)
Magodoro yamelowana
Ndani apalariki
Natamani nilewe
Ila sa nikilewa pombe nazo zinadhuka chini
Nami sina wa hubani n’tafanya nini
Yalah weh

Doh salaleh
Nimeachwa
Doh doh nimepigwa kibuti
Doh salaleh
Nimeachwa
Doh doh nimepigwa kibuti
Doh salaleh

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2023


Album : Doh Salaleh (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

PHINA

Tanzania

Saraphina Michael, popularly known as PHINA is a reecording artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE