Home Search Countries Albums

Jichunge

PEACE ONE Feat. NACHA, KONDELA

Jichunge Lyrics


Hey dada jichunge 
Usiuwache wazi huo mlango ufunge
Mmenipata na mimi ni kaka 
So hata mkikaa kimya 
Mimi nitasimama kama kaka

Kwa iyo acha hizo powder, kutoga ushoga
Mjini hauna kazi kukaa kwa njomba
Kushinda maskani kuwapa mimba madada
Utajikuta ni baba ambaye pia anakaa kwa baba

Nyi mta tanga tanga, mta danga danga
Mtafosi maji kweny mlima kupanda
Na usipojichunga utachungwa
Na ukiacha wazi magoli utafungwa

Jichunge wewe
Ingiza vifaranga mi kunguru mwewe
Usiposkia la mkuu utavunjika guu
Na hii ni sindano mtanyooka mwaka huu

Nasaka natafuta long 
Nazisaka navyo vikwio vinataka bata
Na masela wanaunga tela
Wanamwaga sera mi nimwage hela

Jua shukurani ya punda mateke
Na nyumbani njaa kali maseke
Jichunge jichunge iyee
Jichunge jichunge iyee

Jichunge hii dunia tunasafiri
Acha ujangili kwa piece hii ndio habari
Kuwa chakiri sio kimwili
We jisexy na mtoto wa shule kamo na kiri

Watu wanatembea na more fire
Ndoa hazidumu mikataba ka ulaya
Wengine wanakula unga na mazala
Utatabua kwamba na hata alizaa pombe empire

Nyumbani unaitwa baba, kitaani unakaba
Kisha wakizubaa mda kidogo kwako unabeba
Ni hatari kubeba huo msalaba
Jichunge wenzako kuwakaba loba

Wako wanalala njaa, we unakesha baa
Mke wako yuko leba hana hata chapaa
Leo upo kesho haupo kwa iyo
Chunga hili kosa, lisijirudie kosa

Nasaka natafuta long 
Nazisaka navyo vikwio vinataka bata
Na masela wanaunga tela
Wanamwaga sera mi nimwage hela

Jua shukurani ya punda mateke
Na nyumbani njaa kali maseke
Jichunge jichunge iyee
Jichunge jichunge iyee

Nasaka natafuta long 
Nazisaka navyo vikwio vinataka bata
Na masela wanaunga tela
Wanamwaga sera mi nimwage hela

Jichunge jichunge iyee
Jichunge jichunge iyee

(Kiri Records)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Jichunge (Single)


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

PEACE ONE

Tanzania

Peace One is an artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE