Amenifanyia Amani Lyrics
Amenifanyia amani
Amenifanyia amani
Kaondoa huzuni yangu
Kanifanyia amani
Nijapopita kwenye bonde la mauti
Sitaogopa maana wewe uko nami
Gongo lako na fimbo yako
Eh Bwana vyanifariji
Wanifanyia amani
Umesema ya kwamba hutaniacha
Sababu mimi ni mboni ya jicho lako
Bwana wanitazama asubuhi mchana jioni
Eeh Bwana kweli Mungu wa baraka
Amebadilisha uchungu wangu
Umekua ni furaha yangu
Huyu Yesu amenipa furaha Kanifanyia amani
This Jesus gave me joy
Amebadilisha machozi yangu
Yamekuwa ni furaha yangu
Huyu Yesu amenipa furaha kanifanyia amani
Furaha unipayo siyo kama ya dunia hii
Amani unipayo siyo kama ya ulimwengu huu
We waniganga moyo nipatapo uchungu
Wanifanyia amani You grant me peace
Amenifanyia furaha He has granted me joy
Kaondoa huzuni yangu
Kanifanyia furaha
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2016
Album : Amenifanyia Amani (Single)
Copyright : ©2016
Added By : Trendy Sushi
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE