Home Search Countries Albums

Ahadi Lyrics


Ahadi ya Mungu sio deni
Ahadi ya Mungu sio deni

Mungu hawezi kuahidi
Asichoweza timiza
Mungu hawezi kuahidi
Kama hana uhakika

Mungu hawezi kuahidi kitu chochote
Kama ana mashaka
Vyote alivyoahidi anaweza kutimiza
Kila alichoahidi kiko ndani ya uwezo wake
Mungu hasemi uongo wala hadanganyi
Alichoahidi hawezi kusahau

Ahadi za Mungu sio deni
Ahadi za Mungu ni kweli
Ahadi za Mungu subiri
Atazitimiza, atazitimiza

Mungu amesema tuombe lolote kwake
Tuombe lolote kwa jina lake
Ameahidi atatupa vyote
Na hatopoteza chochote

Alivyoahidi haanzi kutafuta
Alivyoahidi anavyokavitunza
Alivyoahidi amevitunza
Ameviweka kwenye ghala ya baraka

Anasubiri muda mwafaka
Aweze kutupatia
Hata kama inachelewa ingoje
Ahadi ya Mungu ingoje

Mungu hasemi uongo wala hadanganyi
Alichoahidi hawezi kusahau
Mungu hasemi uongo wala hadanganyi
Alichoahidi hawezi kusahau

Ahadi za Mungu sio deni
Ahadi za Mungu ni kweli
Ahadi za Mungu subiri
Atazitimiza, atazitimiza

Ahadi za Mungu sio deni
Ahadi za Mungu ni kweli
Ahadi za Mungu subiri
Atazitimiza, atazitimiza

Ni kweli, ni kweli
Ahadi zake, upendo wake, neno lake
Ni kweli, ni kweli
Ni kweli, ni kweli

 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Ahadi (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

PAUL CLEMENT

Tanzania

PAUL CLEMENT  is a Gospel singer from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE