Ahadi Lyrics
Ahadi ya Mungu sio deni
Ahadi ya Mungu sio deni
Mungu hawezi kuahidi
Asichoweza timiza
Mungu hawezi kuahidi
Kama hana uhakika
Mungu hawezi kuahidi kitu chochote
Kama ana mashaka
Vyote alivyoahidi anaweza kutimiza
Kila alichoahidi kiko ndani ya uwezo wake
Mungu hasemi uongo wala hadanganyi
Alichoahidi hawezi kusahau
Ahadi za Mungu sio deni
Ahadi za Mungu ni kweli
Ahadi za Mungu subiri
Atazitimiza, atazitimiza
Mungu amesema tuombe lolote kwake
Tuombe lolote kwa jina lake
Ameahidi atatupa vyote
Na hatopoteza chochote
Alivyoahidi haanzi kutafuta
Alivyoahidi anavyokavitunza
Alivyoahidi amevitunza
Ameviweka kwenye ghala ya baraka
Anasubiri muda mwafaka
Aweze kutupatia
Hata kama inachelewa ingoje
Ahadi ya Mungu ingoje
Mungu hasemi uongo wala hadanganyi
Alichoahidi hawezi kusahau
Mungu hasemi uongo wala hadanganyi
Alichoahidi hawezi kusahau
Ahadi za Mungu sio deni
Ahadi za Mungu ni kweli
Ahadi za Mungu subiri
Atazitimiza, atazitimiza
Ahadi za Mungu sio deni
Ahadi za Mungu ni kweli
Ahadi za Mungu subiri
Atazitimiza, atazitimiza
Ni kweli, ni kweli
Ahadi zake, upendo wake, neno lake
Ni kweli, ni kweli
Ni kweli, ni kweli
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Ahadi (Single)
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE