Home Search Countries Albums
Read en Translation

Mwema Lyrics


Tangu nikujue, Yesu
Tangu nikujue, Yesu
Nimeonja nimegundua kwamba we ni mwema
Nimegundua kwamba we ni mwema 
Nimeonja nimegundua kwamba we ni mwema
Nimegundua kwamba we ni mwema 

Wema wako ni wimbo wangu wa kila siku
Wema wako sauti yangu nitaimba  milele
Wema wako ni wimbo wangu la la la la la la la
Wema wako sauti yangu nitaimba  milele

Umetenda mema bila kuchoka
Umetenda miujiza bila kuchoka eh
Umetenda mema bila kuchoka
Umetenda miujiza bila kuchoka eh

Ukitenda asubuhi unatenda tena mchana
Ukitenda jioni usiku haulali
Ukitenda asubuhi unatenda tena mchana
Ukitenda jioni usiku haulali

Oh baba nimeonja
(Nimegundua kwamba we ni mwema)
Nimekuja
(Nimegundua kwamba we ni mwema)
Hhmmmm baba nimeonja tu
(Nimegundua kwamba we ni mwema)
Nimekwama hapa mie
Nimegundua kwamba we ni mwema

Wema wako haupimwi kwa kilo ama kwa hesabu
Wema wako huchagua kabila na miaka
Wema wako haupimwi kwa kilo ama kwa hesabu
Wema wako huchagua kabila na miaka

Wabariki haubagui eh baba eh
Wabariki kila taifa eh baba eh
Wabariki haubagui eh baba eh
Wabariki kila taifa eh baba eh

Baba wabariki
Wabariki haubagui eh baba eh
Wabariki kila taifa eh baba eh

Oh baba nimeonja
(Nimegundua kwamba we ni mwema)
Nimekuja
(Nimegundua kwamba we ni mwema)
Hhmmmm baba nimeonja tu
(Nimegundua kwamba we ni mwema)
Nimekwama hapa mie
Nimegundua kwamba we ni mwema

Oh baba nimeonja
(Nimegundua kwamba we ni mwema)
Nimeonja uzuri wako eh, mimi sitoki pale sibanduki mie)
(Nimegundua kwamba we ni mwema)
Nimeonja upendo wako Yesu, upendo wako ni mtamu kuliko asali
(Nimegundua kwamba we ni mwema)
Nimeonja fadhili zako zidumumilele
(Nimegundua kwamba we ni mwema)
Nimekwama pale mie, nimekwama
Sibandoki ng'o

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Mwema (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

PAMMY RAMZ

Kenya

Pammy Ramz is a  gospel recording artist/songwriter, praise and worship minister from Keny ...

YOU MAY ALSO LIKE