Niongoze Lyrics
Maisha ni kama safari, ulimwengu barabara
Nilitoka ni kwako, ninarudi ni kwako
Anayejua njia ni wewe, mwanzo na mwisho
Nilitoka ni kwako, ninarudi ni kwako
Maisha ni kama safari, ulimwengu barabara
Nilitoka ni kwako, ninarudi ni kwako
Anayejua njia ni wewe, mwanzo na mwisho
Nilitoka ni kwako, ninarudi ni kwako
Niongoze, niongoze
Niongoze, niongoze
Niongoze, niongoze
Niongoze, niongoze
Usipolinda mji peke yako
Waulindao wakesha bure
Hekima ya mwanadamu ni ujinga mbele zako
Usipojenga nyumba peke yako
Waonjengao wachoka bure
Ujuzi ya mwanadamu udhaifu mbele zako
Anayejua njia ni wewe, mwanzo na mwisho
Nilitoka ni kwako, ninarudi ni kwako
nayejua njia ni wewe, Alpha na Omega
Nilitoka ni kwako, ninarudi ni kwako
(Kwa hivyo..)
Niongoze, niongoze
Niongoze, niongoze
Niongoze, niongoze
Niongoze, niongoze
Niongoze, niongoze
Niongoze, niongoze
Anayejua njia ni wewe, mwanzo na mwisho
Nilitoka ni kwako, ninarudi ni kwako
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2019
Album : Niongoze (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
PAMMY RAMZ
Kenya
Pammy Ramz is a gospel recording artist/songwriter, praise and worship minister from Keny ...
YOU MAY ALSO LIKE