Home Search Countries Albums

I'm Offended

SMALLZ LETHAL

I'm Offended Lyrics


Ah I'm offended man
Ah, put your mouth where yuor truth is
KRK kama kawa ah

Oh Ngwai me natumianga
Lakini Ongwae pia umetuangushanga
Tusiianzie mbali cheki Nyanchwa barabara
Aibu kubwa kwa watu wetu wa hapa

Connection ya Bosongo town mpaka Suneka
Na hiyo soko mmekula mpaka mikeka
Na hiyo hela ni 56 million
BBI sitting ati 18 million

Mketi kwenye uwanja mliopewa 90 million
Na kuijenga mkatumia 6 million
Hizi figures zina add up kweli?
Jua lisemwalo linakuanga na ukweli

Wananchi wakikuona wanakuona kwa telly
Yaani wewe kuwa Governor imekuwa ni kejeli
Makeja ndio umejaza tu Nairobi
Umeharibu na hizo tender za marodi

Mimi mkenya halisi I’m offended
Na mimi kama msanii I’m offended
And as a chairman of a club I’m offended
Mi - I'm offended

Mimi mkenya halisi I’m offended
Na mimi kama msanii I’m offended
And as a chairman of a club I’m offended
Mi - I'm offended
 
Mbona wananchi mnaabudu mheshimiwa?
Na mheshimiwa hakuna kazi anafanya
Anakula tu za county na mabibi mmeibiwa
Mmetii ni kama ni gun mmeshikiwa

Waziri wa michezo, waziri una mchezo
Waziri unatunzaje hizi talanta za kikesho
Waziri unasemaje hiyo hall ya wasanii
We umepeana makanisa hapo wanakesha na maleso

Mheshimiwa akili yako sio fresh
Tumengojea vitu Kama tournaments
Na huwezi fanya, concerts huwezi panga
Kisha uje kusema eti wasanii wanakutukana (Aje?)

HUmeshinda ukituambia tungoje, cheki saa
Nipe reason moja mbona nikuite sir
Wahenga walisema tukishikana tunaenda far
Lakini unaenda solo we unataka uende fast

Natumia voice yangu tu the best way I can
Kurepresent mayouth from maboys to mayeng
Na sasa ni miaka tatu tumesmile thru' the pain
We no longer at your service
Everything’s not the same

Shabana Glamour Boys tunakazana kurudi
We unachukua Nevaton mnaenda Kula mbuzi
Tusitumie stadium na hizo reason za kipuzi
Hiyo ni bullshit!

Wasanii ulizieni pesa ya Ruto
Ama mtabaki mkikula tu majuto (Mtashangaa)
Tunataka kuona pesa ama studio
Ati minister of the year haufai kuwa na tuzo

Mimi mkenya halisi I’m offended
Na mimi kama msanii I’m offended
And as a chairman of a club I’m offended
Mi - I'm offended

Mimi mkenya halisi I’m offended
Na mimi kama msanii I’m offended
And as a chairman of a club I’m offended
Mi - I'm offended

Put your mouth where yuor truth is

Najua siku moja labda sitakuwa
Lakini kutokee na wengine na wengine..
Watu wa kusema ukweli man, everytime
Kazi ifanyike bana serve the youth

Serve the people when you are given that POWER!

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : I'm Offended


Copyright : (c) 2020 KRK & 90 MUSIC AFRICA Production.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

SMALLZ LETHAL

Kenya

Smallz Lethal is a hip-hop artist from Kenya signed under KRK record label. Smallz Lethal is current ...

YOU MAY ALSO LIKE