Home Search Countries Albums

Corona

PADI WUBON

Corona Lyrics


Polisi inakuja Kibera 
Inachapa mayout man 
Marungu magoti makwapa 
Matanye inawashwa moto kama pasi mmmh
Sai (Sai) nikae wapi? (Kwako)

Polisi inakuja Kibera 
Inachapa mayout man 
Marungu magoti makwapa 
Matanye inawashwa moto kama pasi mmmh
Sai (Sai) nikae wapi? (Kwako)

Corona (Corona)
Corona (Corona)
Corona (Corona)
Corona (Corona)

Yes man fika kwako kabla ya saa kumi na mbili
Poker fika kwako kabla ya saa kumi na mbili
Similizer fika kwako kabla ya saa kumi na mbili
Sholei fika kwako kabla ya saa kumi na mbili

Jack on the beat fika kwako kabla ya saa kumi na mbili
Slim fika kwako kabla ya saa kumi na mbili
Roberto msanii fika kwako kabla ya saa kumi na mbili
Afisa Mark B, kabla ya saa kumi na mbili

Corona (Corona)
Corona (Corona)
Corona (Corona)
Corona (Corona)

Bwow! -- nifeel
Weka mkono mmoja hewani
Na hii ingine -- ya makwapa
Njaa itatuua ndani ya nyumba zetu

Sanitizer (Sanitize)
Quarantine (Quarantine)

Polisi inakuja Kibera 
Inachapa mayout man 
Marungu magoti makwapa 
Matanye inawashwa moto kama pasi mmmh
Sai (Sai) nikae wapi? (Kwako)

Polisi inakuja Kibera 
Inachapa mayout man 
Marungu magoti makwapa 
Matanye inawashwa moto kama pasi mmmh
Sai (Sai) nikae wapi? (Kwako)

Corona (Corona)
Corona (Corona)
Corona (Corona)
Corona (Corona)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Corona (Album)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

PADI WUBON

Kenya

Padi Wubonn is a famous Kenyan based Comedian,Mc, actor,script writer,film director, song writer, gy ...

YOU MAY ALSO LIKE