Shika Lyrics

Uliponiita mpenzi nilewe
Sikusubiri hata saa
Sikuja kwako nisichelewe
We kipenzi changu mama
Mi najua una maswali
Ju ya yangu hali
Je nitaweza kukutunza
Na maisha ya kifari
Je nina mali?
Ya kuweza kukukuza
My baby you are the light of my day
And baby you are the sun of my heart
Nataka kukushika, shika shika shika yeah
Nataka kukushika, shika shika shika yeah
Nataka kukushika, shika shika shika yeah
Nataka kukushika, shika shika shika yeah
Yangu moja namba ni wewe
Na ndio maana nimejituliza
Sema utonata mwenyewe
Ili nisintokukuumiza
Waache waseme yote kuhusu mimi
Mi kubaki nawe yawakera nini
We ni wangu pekee tokea zamani
Nah nah nah nah
My baby you are the light of my day
And baby you are the sun of my heart
Nataka kukushika, shika shika shika yeah
Nataka kukushika, shika shika shika yeah
Nataka kukushika, shika shika shika yeah
Nataka kukushika, shika shika shika yeah
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Your Love (Single)
Copyright : (c) 2020 Makini Records.
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
OTUCK WILLIAM
Tanzania
Otuck William is an artist from Tanzania signed under Makini Records by Joe Makini ...
YOU MAY ALSO LIKE