Nabayet Lyrics

Nimejaliwa moyo wa upendo,
Nikipenda napendaga vibaya
Ila scandal zimefanya sija settle
Madem wananihukumu vibaya
Nishabadili ata Mienendo
Wanadai nimefulia ile mbaya
Mana sifanyi kiki tena na scandal
Sina hamu nazo kisa wewe mama
Wananiita play boy (heart breaker)
Baada ya kitendo (na sepa)
Yani hawaniamini ata kama nawatania
Wananiita play boy (heart breaker)
Baada ya kitendo (na sepa)
Yani hawaniamini ata kama nawatania
Baby mi sio mtu wa mchezo mchezo
(Nabayet ,Nabayet , Nabayet)
Sema niku Oe ata leo
(Nabayet ,Nabayet , Nabayet)
Nabi , Nabi , Nabi we , Nabi , Nabayet
Nabi , Nabi , Nabi we , Nabi , Nabayet
Aseme anahisi joto nimpepee ila anachukulia poa tu
Nioshe viombo nimkande ila juhudi zangu bute tu
Namtendekeza kama mtoto ata chakula kwa mkono ashiki
Kama Mashine nampa tango mana hanaga bwawa la maji
Wananiita play boy (heart breaker)
Baada ya kitendo (na sepa)
Yani hawaniamini ata kama nawatania
Wananiita play boy (heart breaker)
Baada ya kitendo (na sepa)
Yani hawaniamini ata kama nawatania
Baby mi sio mtu wa mchezo mchezo
(Nabayet ,Nabayet , Nabayet)
Sema niku Oe ata leo
(Nabayet ,Nabayet , Nabayet)
Nabi , Nabi , Nabi we , Nabi , Nabayet
Nabi , Nabi , Nabi we , Nabi , Nabayet
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2019
Album : Nabayet (Single)
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
OTILE BROWN
Kenya
Otile Brown real name Jacob Otieno Obunga (born on 21st March 1994) is an urban contemporary musicia ...
YOU MAY ALSO LIKE