Home Search Countries Albums

Nakushuku

NYOTA NDOGO

Nakushuku Lyrics


Eti juzi juzi, ulinambia unakuja
Wala haukufika kwangu 
Eti juzi juzi, ulinambia unakuja
Wala haukufika kwangu 

Kila nikipiga wewe waja
Wewe waja wala hufiki
Kila nikipiga, we waja we waja
Wewe waja wala hufiki

Juzi nilikuona, Nilikuona
Kwenye Gari lako....mmmhh
Ukageuza kichwa, ukageuza kichwa 
Ukanitazama ukaangalia kando

Ile simu, ile simuu
Niliyopiga haukuipokea
Ile simu, ile simuuu
Iliniuma sana aaaaah  

Baby Nakushuku wewe
Nakushuku wewe
Baby Nakushuku wewe
Nakushuku wewe   

Baby Nakushuku wewe
Nakushuku wewe
Baby Nakushuku wewe
Nakushuku wewe  

Nimesikia mwanaume akipendwa, hujilegeza
Hutaka bembelezwa, yote nimefanya
Nimesikia mwanaume akipendwa, hujidekeza 
hutaka bembelezwa, yote nimefanya

Ila unaniumiza nafsi
Moyo Unalalama aah
Usiku nakuwaza

Ila unaniumiza nafsi
Moyo Unalalama aah
Kwa kuwa nakupenda

Kama kuna mwenzangu 
Mwambie namuita, 
Aje tuelewane
Sina shida ya we kuwa na wawili

Kama kuna mwenzangu
Mi sina shida aaaah 
Muje tuelewane
Kuliko kufichaficha aaah

Baby Nakushuku wewe
Nakushuku wewe
Baby Nakushuku wewe
Nakushuku wewe   

Baby Nakushuku wewe
Nakushuku wewe
Baby Nakushuku wewe
Nakushuku wewe  

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Nakushuku (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

NYOTA NDOGO

Kenya

Nyota Ndogo is an artist from Kenya. ...

YOU MAY ALSO LIKE