Home Search Countries Albums

Amalile Lyrics


Kwanza uliniomba nikupende nisikize ya walimwengu
Nikaheshimu maneno yako nikafungua moyo wangu
Ulinipo nikosea nilisamehe zaidi mara saba sabini
Na nilipokukosea huku nyamaza wakajua na majirani
Nikaanza kusikia na bwana toka congo
Aliyekuletea chacha ukanisaliti mumeo

Hivi ni nini ulitaka nikupe
Shukrani ya punda mateke
Yakishakushinda usijute
Hivi ni nini ulitaka nikupe
Shukrani ya punda mateke
Yakishakushinda unikumbuke

Pesa zangu mali zangu nilikupe mpezi wewe wamalile
Pesa zangu mali zangu nilikupe mpezi wewe wamalile
Eh wamalile wamalile
Eh wamalile Wamalile
Eh wamalile wamalile
Eh wamalile wamalile

Manenno nikisema yatapunguza heshima
Moyoni naficha kumstiri mwanangu
Shida nilizopata kukuletea furaha
Nikiyakumbuka naumia uchungu
Naka wimbo nikakuimbia
You’re the only one
Na bado ukanikimbia labda ni shetani
Jua furaha sio pesa
Japo nilikupa
Kama hukutosheka
Jibu sio kuondoka
Umemuacha mtoto kwa mdundiko unapigwa kwa jirani
Ningeijua hiyo ngoma ningeipiga tucheze humu ndani

Eh wamalile  wamalile
Hauna huruma hata kidogo wamalile
Ona katoto bado kadogo wamalile
Na kila la kheri uko uwendako
Pesa zangu mali zangu nilikupe mpezi wewe wamalile
Pesa zangu mali zangu nilikupe mpezi wewe wamalile
Pesa zangu mali zangu nilikupe mshenzi wewe wamalile
Pesa zangu mali zangu nilikupe mshenzi wewe wamalile

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2022


Album : Rais Wa Kitaa (Album)


Copyright : ©2021 Free Nation.All rights reserved.


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

NAY WA MITEGO

Tanzania

Emmanuel Elibariki, popularly known as Nay Wa Mitego, or simply  Mr Nay,  is a Tanzanian r ...

YOU MAY ALSO LIKE