Accueil Recherche Pays Albums

Siwezi

NANDY

Siwezi Lyrics


Naona kama dunia imesimama nimeibeba kichwani
Kumbe kuachwa inaumaga ivii
Tena nazidi umia nikilalama machozi yanatiririka
Kumbe kuachwa ina umaga iviii we hayaaa
Umeniumbua bora niseme
Kiapo nilicho kula bora nikiteme
Mapenz shikamoo sirudii tenaa
Umepatwa na nn si useme
Kinachokufanya we uniteme
Mapenz shikamooo sirudiii tenaa we hayaa
Sa si bora ungetoa taarifa nijiandae umenichokaa
Au ndo nimekosa sifa unaishia tu kuropokwa

Bila weee me siwez (sauti inarudia)
Siwez siweziii ( nakumbuka uliniambia)
Bila weee me siwez (sauti inarudia)
Siwez siweziii ( nakumbuka uliniambia)

Unanifanya me nalewa sana
Haipiti siku bila kugombana
Mapenz yako ya kibabe sana
Malumbano ya mapenz siyawezi
Kuna sielewi mana, iv kwanini kwako na ng,ang,ana
Mapenz gani haya kutesana
Wasiwasi wa mapenz
Ivi kwann we hisia zangu unazikondesha unaniweka roho juu
Ina maana mie maisha yangu sito yasongesha oooh mapenziiii
Sa si bora ungetoa taarifa nijiandae umenichoka
Au ndo nimekosa sifa unaishia tu kuropokwaaa

Bila weee me siwez (sauti inarudia)
Siwez siweziii ( nakumbuka uliniambia)
Bila weee me siwez (sauti inarudia)
Siwez siweziii ( nakumbuka uliniambia)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2022


Album : Siwezi (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

NANDY

Tanzanie

NANDY  est une artiste chanteuse originaire de Tanzanie. ...

YOU MAY ALSO LIKE