Accueil Recherche Pays Albums

Bado

NANDY

Bado Lyrics


(Aaah aaah...yeyeye aah)

Kuna maneno ya kusikia 
Sikupendi utaambiwa
Sio ishu ni hatari 
Usije ukayasikia

Mwenyewe umenisifia 
Mwendo wangu wa ngamia
Taratibu bwana darling 
Usije ukayasikia

Usije niacha wakati nakupenda sana
Eeh bwana we me nitapagawa 
Mambo madogo kelele za kusemezana
Nielewe mambo weka sawa

Usije niacha mwenzako ntamisi matukio wo wo wo
Kama ulaya wanavyofanyaga
Utanipa donda hapo hapo nikianzishe kilio wo wo wo 
Baba ubaya usije ni bwagaa 

Nakupenda bado
Nakupenda bwana (Bado) 
Lazizi (Bado)
Usininyime utamu (Bado)

Nakupenda bado
Nakupenda bwana (Bado)
Oooh wangu mimi (Bado)
Yeah yeah yeah

Hutumii vumio bwana 
Samaki sio supu ya nyanya
Mambo ng'ari ng'ari 
Hhabari zinapatikana

Na maneno ndo mengi sana 
Usishike moja tazama
Nipe vya asali kachumbari 
Pilipili Kwa sana

Usije niacha wakati nakupenda sana
Eeh bwana we me nitapagawa 
Mambo madogo kelele za kusemezana
Nielewe mambo weka sawa

Usije niacha mwenzako ntamisi matukio wo wo wo
Kama ulaya wanavyofanyaga
Utanipa donda hapo hapo nikianzishe kilio wo wo wo 
Baba ubaya usije ni bwagaa 

Nakupenda bado
Nakupenda bwana (Bado) 
Lazizi (Bado)
Usininyime utamu (Bado)

Nakupenda bado
Nakupenda bwana (Bado)
Oooh wangu mimi (Bado)
Yeah yeah yeah

Hutumii vumio bwana
Samaki sio supu ya nyanya
Mambo ng'ari ng'ari
Habari zinapatikana

(The African princess)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2018


Album : The African Princess / Bado (Album)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

NANDY

Tanzanie

NANDY  est une artiste chanteuse originaire de Tanzanie. ...

YOU MAY ALSO LIKE