Accueil Recherche Pays Albums

Unanijua

MZEE MONDI

Unanijua Lyrics


 

Ata simba ananijua aga aga
Konki master ananijua aga aga aga
Pierre Liquid na wewe si unanijua

Woiyoooo...
Shaja boy unamjua
Roho msabwanda mnamjua
Cheki team macho mnayajua

Babu Tifa(naam mwanangu naam mwanangu)
Mwanao nina shida (niambie nikutatulie)
Nitawezaje kudumu kwenye mapenzi 
(Unahitaji uwe na roho ngumu sana mwanangu)
Hawa mababu zetu wenyewe,mapenzi yaliwashinda
Karibu sana ukubwani mwanangu

Aga aga aga(aga aga aga aga)
Mimi ni yule yule
Big Simba tunakuja kivingine
Babu Tifa oooh, aga aga

Aga aga aga
Mimi ni yule yule
Big lion
Aga aga

Maisha ya mjini
Boda boda bajaji 
Usingizi wa watu
Hawa mababu zetu wenyewe,mapenzi yaliwashinda
Karibu sana ukubwani mwanangu

Aga aga aga(aga aga aga aga)
Mimi ni yule yule
Big Simba tunakuja kivingine
Babu Tifa oooh, aga aga

Aga aga aga
Mimi ni yule yule
Big lion
Aga aga

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Unanijua (Single)


Copyright : All rights to the owner.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MZEE MONDI

Tanzanie

Mzee Mondi aka Diamond's Platnumz dad is Tanzania artist featured in the song Mwewe/ Umeniteka. ...

YOU MAY ALSO LIKE