Unanijua Lyrics

Ata simba ananijua aga aga
Konki master ananijua aga aga aga
Pierre Liquid na wewe si unanijua
Woiyoooo...
Shaja boy unamjua
Roho msabwanda mnamjua
Cheki team macho mnayajua
Babu Tifa(naam mwanangu naam mwanangu)
Mwanao nina shida (niambie nikutatulie)
Nitawezaje kudumu kwenye mapenzi
(Unahitaji uwe na roho ngumu sana mwanangu)
Hawa mababu zetu wenyewe,mapenzi yaliwashinda
Karibu sana ukubwani mwanangu
Aga aga aga(aga aga aga aga)
Mimi ni yule yule
Big Simba tunakuja kivingine
Babu Tifa oooh, aga aga
Aga aga aga
Mimi ni yule yule
Big lion
Aga aga
Maisha ya mjini
Boda boda bajaji
Usingizi wa watu
Hawa mababu zetu wenyewe,mapenzi yaliwashinda
Karibu sana ukubwani mwanangu
Aga aga aga(aga aga aga aga)
Mimi ni yule yule
Big Simba tunakuja kivingine
Babu Tifa oooh, aga aga
Aga aga aga
Mimi ni yule yule
Big lion
Aga aga
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2019
Album : Unanijua (Single)
Copyright : All rights to the owner.
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
MZEE MONDI
Tanzania
Mzee Mondi aka Diamond's Platnumz dad is Tanzania artist featured in the song Mwewe/ Umeniteka. ...
YOU MAY ALSO LIKE