I Miss You Lyrics

Aha aha we acha tu I miss you
Ingawa nakufikiria baba nakuwaza kila saa
Tease on my pillow nakuwaza days and nights
Nimechoka nipo njiani naamini we jirani unipe furaha
-----
Pappy Kojo
-----
Aha aha we acha tu I miss you
Ingawa nakufikiria baba nakuwaza kila saa
Tease on my pillow nakuwaza days and nights
Nimechoka nipo njiani naamini we jirani unipe furaha
Kutoka siku ya kwanza nilijua kwamba mmh
Itakuwa ngumu sana na nikawaza mmh
Where you are you are far away comeback home
It's not the same without you baby come back home
I need you baby come back home
Tease on my pillow eeh
Narudi nijifariji kuona karibu utarudi nyumbani
Haielezeki oh I miss you
Aha aha we acha tu I miss you
Ingawa nakufikiria baba nakuwaza kila saa
Tease on my pillow nakuwaza days and nights
Nimechoka nipo njiani naamini we jirani unipe furaha
Kila siku nafungua pazia asubuhi
Naangalia nje njiani
Nikidhani pengine siku utarudi
Ili tena niwe furahani natafuta nyayo zako
Narudi nijifariji karibu utarudi nyumbani
Haielezeki oh I miss you
Aha aha we acha tu I miss you
Ingawa nakufikiria baba nakuwaza kila saa
Tease on my pillow nakuwaza days and nights
Nimechoka nipo njiani naamini we jirani unipe furaha
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : 20 (Album)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
LADY JAYDEE
Tanzania
Lady Jaydee also known as Binti Machozi, real name Judith Wambura is a recording artist from Tanzani ...
YOU MAY ALSO LIKE