Mungu Unanipenda Lyrics
Baba shida zetu unazijua, unatujua
Baba tulitaka mwanga, umeleta jua
Baba yetu nakunjua, mabaraka tunadua
Kwenye ukame we ndo mvua
Baba mi ni wako hata ukinichukua
Baba wowowowo
Baba nakutegemea
Dunia inanielemea
Ila nakuaminia
Baba wowowowo
Baba kanisaidia
Kwenye shida na raha
Kwenye dhiki na karaha
Baba utaniokoa
Hata dunia ikinitenga, Mungu unanipenda
Mungu unanipenda, na wengine unawapenda
Hata dunia ikinitenga, Baba unanipenda
Baba unanipenda, na wengine unawapenda
Mimi mja wako mwenye huo uhai wako
Kwanini niringe kwako baba
Niko kwenye dunia yako nakula matunda yako
Hizi zote mali yako baba
Binadamu hawanipendi, ila Mungu ananipenda
Wachawi mko wengi, ila Mungu ni mmoja
Baba wowowowo
Baba nakutegemea
Dunia inanielemea
Ila nakuaminia
Baba wowowowo
Baba utaniokoa
Kwenye shida na raha
Kwenye dhiki na karaha
Baba utaniokoa
Hata dunia ikinitenga, Mungu unanipenda
Mungu unanipenda, na wengine unawapenda
Hata dunia ikinitenga, Baba unanipenda
Baba unanipenda, na wengine unawapenda
Baba yangu unanipenda
Kweli baba unanipenda
Unanipenda yeah baba
Unanipenda, unanipenda
Baba unanipenda, unanipenda
Hata dunia ikinitenga, Mungu unanipenda
Mungu unanipenda, na wengine unawapenda
Hata dunia ikinitenga, Baba unanipenda
Baba unanipenda, na wengine unawapenda
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Mungu Unanipenda (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
MR BLUE
Tanzania
Khery Sameer Rajab popularly known as Mr Blue, is a Tanzanian RnB and Bogo Flava musician born on Ap ...
YOU MAY ALSO LIKE