Home Search Countries Albums

Kiguu na Njia Lyrics


Never loose, yeah yeah yeah

Nimehustle miaka mingi
Eti mpaka leo bado niko kwenye mbio
Kwa kusaka shilingi
Eti mpaka leo sioni mafanikio

Nyumbani hakuna raha 
Kila siku ni vilio
Watoto wanalia njaa aah
Kero kwenye masikio

Ila one day nitapata na mimi
Walopata wana nini
Na mimi nimekosa, nimekosa nini
Ila one day ye ye ye 

Kama Mungu namuamini
Na mi najiamini 
Sasa niko na nini?

Kiguu na njia oooh
Jua linatoka na kuzama nipo kwenye njia
Kushoto na kulia oooh
Ila Mungu yupo na nia na sitakata tamaa

Kiguu na njia oooh
Jua linatoka na kuzama nipo kwenye njia
Kushoto na kulia oooh
Ila Mungu yupo na nia na sitakata tamaa

Jua linawaka
Mwenzenu nimechoka
Mifuko imetoboka
Mi nasota ye ye yeee

Kama Mungu wangu yupo
Basi najua ipo hata nikipata mwisho
Labda kinikute kifo
Ila Mungu yupo na subiri nione mwisho

Lazima nichukue jiko
Ah hakuna jiko bila mshiko
Vyakula kwa vijiko 
Madiko diko mpaka tunalamba mwiko

Ila one day nitapata ghetto kuu
Mmoja wa kuwa na mimi 
Kuniamini kunidhamini
One day ye ye yeee 

Kama Mungu namuamini
Na mi najiamini 
Sasa kuna nini?

Jua linatoka na kuzama nipo kwenye njia
Kushoto na kulia oooh
Ila Mungu yupo na nia na sitakata tamaa

Kiguu na njia eiyee
Jua linatoka na kuzama nipo kwenye njia
Kushoto na kulia oooh
Ila Mungu yupo na nia na sitokata tamaa

Jua linawaka
Mwenzenu nimechoka
Mifuko imetoboka
Mi nasota ye ye yeee

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Kiguu na Njia (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MR BLUE

Tanzania

Khery Sameer Rajab popularly known as Mr Blue, is a Tanzanian RnB and Bogo Flava musician born on Ap ...

YOU MAY ALSO LIKE