Accueil Recherche Pays Albums

Maelekezo Chapter One

MONI CENTROZONE Feat. LIL DWIN

Maelekezo Chapter One Lyrics


Mi ndo yule chawa wake langa
Chawa wake Roma
Sumbuka sumboko get the money
Serve the commas

Ghafla natrend kwenye riz wananisoma
Niko jangwani sea breeze  mi nachoma
Kuona mtu wa watu na ukipanda stage ni show kali
Alafu toka wacho vinawaka kama Bob Marley

Kavitafuta mtoto mmoja msomali
Kisha mpeleke moto msonobari
Uh ulimwengu ndo mambo iko kwa kichwa
Niko na so famous kwa kitchen

Kaniambia nigga accomplish the mission
Kisha go fuvk them bitches
Kisha go pop them bottles
Nimeanza 2010 watoto wa baro

Siwezi lia kama Mukajo
Sponsa niachie my wangu
Ukiniona stage thats money
Kisha namla babe flani Fayvanny

Nashukuru Mungu naokota 
Hivyo sishoboki na hizo shows
Mi mwenyewe promoter I promote my own shows
Nimetoka mlo mmoja mpaka sasa money flows

--
---

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Maelekezo Chapter One (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MONI CENTROZONE

Tanzanie

Moni Centrozone is a rapper, recording artist, Founder Of Majengo Sokoni Music in Dodoma, Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE