Home Search Countries Albums

Mahaba

ALIKIBA

Mahaba Lyrics


Yeah
Yogo on the beat
Siku hizi hakuna Mahaba (yeah mahaba)
Mapenzi ya Mkataba mpaka kufa yamekwisha
Ni neema ukiwa unahema
Mapenzi yanachosha Yanafuja raha nafsi yangu inasema
Bura nimpende tu aliyenizaa
Uchungu wa kulia daily
Mapenzi yalinifanya nisile
Na sina kumbukumbu  ile
kwamba ulinikoshaaa noo
Uchungu wa kulia daily
Mapenzi yalinifanya Nisile
Na sina kumbukumbu ile
Kwamba ulinikoshaaa noo
Mwezako mi nilikufa
Nikazikwa nikaoza
Mapenzi yalinitesa yalinitupa nimefufuka eeh
Mi nilikufa nikazikwa nikaoza
Mapenzi yalinitesa nimefufuka eeh

Sikiliza kwanza
We Dada, we Dada
Misio mgensi
Yalishannikaba mapezni   yalinikausha
Natamani kuwa single ila na upwiru unakaba koo
Mabinti wenye vifundo
Hao ndo mi wanaonitoa roho
Na siri tu jambo lile ni kama chakula lazimanile
Mi mbovu sana wa jambo lile
Na Ufundi wa kutosha Ooh
Na siri yake tu jambo lile
Ni kama chakula lazima nile
Mi mbovu sana wa jambo lile
Na Ufundi wa kutosha Ooh
Mwezako mi nilikufa nikazikwa nikaoza
Mapenzi yalinitesa yalinitupa nimefufuka eeh
Mi nilikufa nikazikwa nikaoza
Mapenzi yalinitesa nimefufuka eeh

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2023


Album : Mahaba (Single)


Copyright : ©2023 Kings Music Records.All rights reserved.


Added By : Sainclair Fonkou

SEE ALSO

AUTHOR

ALIKIBA

Tanzania

Ali Saleh Kiba, better known by his stage name AliKiba, is a Tanzanian recording artist, singer-song ...

YOU MAY ALSO LIKE