Mahaba Lyrics

Yeah
Yogo on the beat
Siku hizi hakuna Mahaba (yeah mahaba)
Mapenzi ya Mkataba mpaka kufa yamekwisha
Ni neema ukiwa unahema
Mapenzi yanachosha Yanafuja raha nafsi yangu inasema
Bura nimpende tu aliyenizaa
Uchungu wa kulia daily
Mapenzi yalinifanya nisile
Na sina kumbukumbu ile
kwamba ulinikoshaaa noo
Uchungu wa kulia daily
Mapenzi yalinifanya Nisile
Na sina kumbukumbu ile
Kwamba ulinikoshaaa noo
Mwezako mi nilikufa
Nikazikwa nikaoza
Mapenzi yalinitesa yalinitupa nimefufuka eeh
Mi nilikufa nikazikwa nikaoza
Mapenzi yalinitesa nimefufuka eeh
Sikiliza kwanza
We Dada, we Dada
Misio mgensi
Yalishannikaba mapezni yalinikausha
Natamani kuwa single ila na upwiru unakaba koo
Mabinti wenye vifundo
Hao ndo mi wanaonitoa roho
Na siri tu jambo lile ni kama chakula lazimanile
Mi mbovu sana wa jambo lile
Na Ufundi wa kutosha Ooh
Na siri yake tu jambo lile
Ni kama chakula lazima nile
Mi mbovu sana wa jambo lile
Na Ufundi wa kutosha Ooh
Mwezako mi nilikufa nikazikwa nikaoza
Mapenzi yalinitesa yalinitupa nimefufuka eeh
Mi nilikufa nikazikwa nikaoza
Mapenzi yalinitesa nimefufuka eeh
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2023
Album : Mahaba (Single)
Copyright : ©2023 Kings Music Records.All rights reserved.
Added By : Sainclair Fonkou
SEE ALSO
AUTHOR
ALIKIBA
Tanzania
Ali Saleh Kiba, better known by his stage name AliKiba, is a Tanzanian recording artist, singer-song ...
YOU MAY ALSO LIKE