Home Search Countries Albums

Pili Pili

BRIGHT

Pili Pili Lyrics


Umenishika baby nimenasa
Mimi kwako sichomoi
Umenifunga vyuma vimekaza
Kwa mwengine sidonoi

Kwako bubu mi mateka sina ujanja
Nipe nienjoy
Na mapenzi karata
Ukiniacha nitabaki  hoi

Knockout kwa ulingo, mapenzi yamenivunja shingo
Nakuimbia na wimbo, we udance kwa maringo
Knockout kwa ulingo, mapenzi yamenivunja shingo
Nakuimbia na wimbo, we udance kwa maringo

Unaniwasha ka pilipili
Unaniumiza kisirisiri
Si uongo nakiri kiri
Umenikaa rohoni

Unaniwasha ka pilipili
Unaniumiza kisirisiri
Si uongo nakiri kiri
Umenikaa rohoni

Nimeridhia kuwa nimeridhika kukupenda
Haki ya Mungu nimesurrender eeh
Presha inashuka inapanda
Mwenzako mi natokaga udenda eeh

Mapenzi uchizi usinitese moyoni
Nipe nishibe nisitoke chumbani
Mwenzako nimelewa mbele sioni
Umeniteka akili kwa utamu wa kisogoni

Umenifanya niamini bila we siwezi kwa penzi lako
Mi mfungwa kifungoni sitoki tena, nimebaki kwako
Nimekubali kutoa kosa sina mashaka
Nipo tayari unachotaka mimi nitafuata

Knockout kwa ulingo, mapenzi yamenivunja shingo
Nakuimbia na wimbo, we udance kwa maringo
Knockout kwa ulingo, mapenzi yamenivunja shingo
Nakuimbia na wimbo, we udance kwa maringo

Unaniwasha ka pilipili
Unaniumiza kisirisiri
Si uongo nakiri kiri
Umenikaa rohoni

Unaniwasha ka pilipili
Unaniumiza kisirisiri
Si uongo nakiri kiri
Umenikaa rohoni

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Pili Pili (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

BRIGHT

Tanzania

...

YOU MAY ALSO LIKE