Home Search Countries Albums
Read en Translation

Siku Hizi ni Kubad Lyrics


Yeah Chrome!
Siku hizi binadamu nawagwaya
Hawa wawili walikuwa wanapendana
Kushikana wakichinjiana
Nimeona kwa news, eeh walichinjana 

Manze dunia inaenda wapi?
Mandugu wanauana ju ya mali 
Siku hizi pesa thicker than blood
Beef ndani ya family ni bomboclaat

Story ya mabeshty weka kando
Kwanza mabeshty A1 kaa ritho
Hiyo ndiyo kikulacho
Utakuta beshty yako ndiye alikula bibi yako

Ndio maana me hukaa pekee yangu tu
Kwa corner na pombe yangu tu
Story ya mbogi ah ah
Dunia balaa eeh 

Siku hizi ni kubad, bad, bad
Bad bad bad bad
Manze so sad
Watu wengine ni ma mbwakni

Siku hizi ni kubad, bad, bad
Bad bad bad bad
Manze so sad
Watu wengine ni ma mbwakni

Bishop anaishi Karen
Wafuasi wake Kayole
Anataka sadaka mchange
Wafuasi wake ju ya mawe

Siku hizi sielewi hosi
Mbona ulipe parking hosi
Manze hawajali ju ya wagonjwa
Hosi zingine zimeoza

Juzi manzi yangu aliniambia
'Babe naenda trip Naivasha'
Akapiga picha na Subaru
Hapo nikajua nimerushwa mazi yangu

Ndio maana me hukaa pekee yangu tu
Kwa corner na pombe yangu tu
Story ya mbogi ah ah
Dunia balaa eeh 

Siku hizi ni kubad, bad, bad
Bad bad bad bad
Manze so sad
Watu wengine ni ma mbwakni

Siku hizi ni kubad, bad, bad
Bad bad bad bad
Manze so sad
Watu wengine ni ma mbwakni

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Sikuhizi ni Kubad (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MEJJA

Kenya

Mejja aka Okwonko real name Major Nameye Khadija is an artist from Kenya, a member of the Kanso ...

YOU MAY ALSO LIKE