Accueil Recherche Pays Albums

Inauma

MEJA KUNTA

Inauma Lyrics


Nikikumbuka kiatu nabaki nalia du
Najua mengi wataongea 
Mola wangu nipe uvumilivu
Kuna mengi nyuma pazia

Nasema oo Mamu mke wangu
Vipi atoke na ndugu yangu
Ooh mke wangu 
Leo namwita shemeji yangu

Kweli kuo huyaoni Meja najionea
Mwenda pole hajikwai
Mengi yaliyotokea siwezi simulia
Maana niko hoi mmh ah

Huruma yangu na roho
Huruma yangu na roho
Huruma yangu na roho
Mwenzenu inanitoa roho
Jamani inanitoa roho

Huruma yangu na roho
Huruma yangu na roho
Huruma na roho, inanitoa roho
Jamani inanitoa roho

Si hoi kaka niteseke
Nirudi Temeke
Kwenye nyumba nitoke
Niadhirike

Pale menaja anapokuwa boss inauma
Kisa kijali mpaka matusi inauma
Pesa kidogo nifungue kesi inauma
Nampaka Venture siaminiki inauma, inauma

Chawa wa boss anadai uridhi
Pia aolewe tu, chawa mambo leo 
Kweli mjini kuna mambo 
Mchawi shobo zako tu upewe funguo

Kweli kuo huyaoni Meja najionea
Mwenda pole hajikwai
Mengi yaliyotokea siwezi simulia
Maana niko hoi mmh ah

Huruma yangu na roho
Huruma yangu na roho
Huruma yangu na roho
Mwenzenu inanitoa roho
Jamani inanitoa roho

Huruma yangu na roho
Huruma yangu na roho
Huruma na roho, inanitoa roho
Jamani inanitoa roho

Venture TZ

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Inauma (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MEJA KUNTA

Tanzanie

Meja Kunta aka PARISH LAWAL is an artist from Tanzania. Singeli artist at Uswazi music. Me ...

YOU MAY ALSO LIKE